Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

Taarifa juu ya uvumi wa kuonekana kwa meli ya m.v spice iliyozama mwaka jana katika mkondo wa nungi.


    Taarifa fupi juu ya uvumi wa kuonekana meli iliyozama Mkurugenzi wa Kaimu Mkurugenzi, Abdallah Kombo anaelezea uvumi huo ulivyokuwa sio wa kweli, leo alikutana na wanadishi wa habari kuelezea suala hilo katika ukumbi wa zamani wa baraza la wawakilishi la zamani pamoja na mambo mengine alikanusa suala hilo.Baada ya kulifuatilia suala hili la kuionekana meli huko Nungwi kwa
njia tofauti leo hii serikali imetoa ufafanuzi kufuatia masuala
waliouliza waandishi wa habari katika kikao chake kati ya waziri wa
wizara ya mawasiliano na wakurugenzi pamoja na waandishi wa habari,
serikali imesema kwamba uvumi ulioenezwa jana usiku kwamba kuna meli
ya Mv. Spice imeonekana katika eneo la bahari ya Nungwi halina ukweli
kwa kuwa meli iliyoonekana lakini meli hiyo kwa mujibu wa wafanya
doria wamegundua kitu kwa mbali sana ambacho imeonekana katika kina
cha maji mita 280. position Lat 05 34. 52 S Long 039 11.881 E jina
lake CHUENJIN. Namba CT 4-2905 Scube du wana doria hao walikwenda na
kuiona athari ya bomu. Chombo kipo maili 13 kutoka Mwanawa wa Mwana na
maili 13 kutoka Tanga. Meli hiyo ni ndogo na haijaonekana kama
unazungukwa na kitu chochote. lakini mamlaka husika taayri
zimeshawasiliana na taasisi zinzohusika na masuala hayo huko Mombasa
Kenya na pia Dar es Salaam

 Mamlaka ilifuatilia leo tena asubuhi na kwa kutumia chombo cha shirika la badnari na wataalamu wa KMKM na mnamo saaa 7:30 za mchana wataalamu hao walifanikiwa kuiona meli hiyo ikiwa sehemu ifuatayo ilikuwa ni meli ya uvuvi, na ilikuwa ikipepea bendera ya China,Meli hiyo ilikuwa umbali wa 15.8. kutoka pangani na kutoka Nungwi na maili kutoka Malindi mnapenda kuelezwa kwamba uvumi kuwa Mv. Spice sio kweli bali ni meli ya kichina na imezama aktika bahari katika maeneo ya nje ya Tanzania lakini imechukuliwa na maji hadi Tanzania.

[ Read More ]

Rolls Royce la Thamani Kubwa...Lakini Kamwe Hutatamani Kulipanda





Stylish final journey: The Rolls-Royce hearse is converted from a Phantom for those who want the ultimate send-off

Pricey: The one-off funeral chariot is thought to be worth over £400,000, according to its makers

High-spec: The Rolls-Royce hearse has a 6.75-litre V12 engine developing 453bhp and a suspension designed to be the smoothest and most comfortable on the road

Gari hili la kifahari lina thamani ya zaidi ya pauni laki nne za Kiingereza (zaidi ya shilingi bilioni moja za Kitanzania) lakini cha kuogopesha sio hiyo thamani pekee bali ukweli kwamba NI GARI LA KUBEBEA MAITI...!!!
na Evarist Chahali.
[ Read More ]

Have a nice day

[ Read More ]

Serikali Kutafuta Mwekezaji Eneo la Mangapwani



Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema inatafuta mwekezaji mwengine katika eneo la Mangapwani wilaya ya kasikazini “B” Unguja baada ya Shirika la Agakhan Foundation kushindwa kuliendeleza eneo hilo ambalo walikodishwa na Serikali kwa lengo la kuliendeleza.

Hayo yamesemwa leo huko Baraza La Wakilishi Zanzibar na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Mwiji Haji Makame wakati akijibu swali la Mwakilishi wa Jimbo la Kwamtipura Hamza Hassan Juma (CCM) aliyetaka kujua hatma ya mwekezaji huyo ambaye kashindwa kuliendeleza eneo hilo kwa muda mrefu.


Dk.Mwinyi Haji akijibu swali hilo amesema kwamba mkataba wa mradi huo umefutwa tokea mwaka 2008 baada ya kusimamishwa mkataba wa kukodishwa ardhi kutokana na muekezaji huyo kushindwa kutekeleza yale aliyoagiza.

Aidha alisema kuwa kutokana na mradi huo kufutwa kabisa na muwekezaji kushindwa kuomba kurejeshewa kwa mradi huo serikali inatafuta mwekezaji mwengine ambae ataweza kuliendeleza eneo hilo kwa kuweka miradi mbalimbali .

Dk.Mwinyi Haji alisema kwamba, kwa sasa Serikali imepokea maombi mengi kwa waekezaji wengine kwaajili ya kuliendeleza eneo hilo ili kutimiza azma ya kuwawezesha wananchi wa Mangapwani kupata ajira.

Kwa upande wake Naibu Waziri wa Biashara Viwanda na Masoko Thuwaiba Edington Kisasi amesema kuna viashiria vinavyoonesha kuongezeka kwa shughuli mbalimbali za kiuchumi Pemba kutokana na ujazo wa fedha uliojitokeza kwa sababu ya mavuno ya Karafuu.

Thuwaiba aliyasema hayo alipokuwa akijibu swali la Mwakilishi wa Jimbo la Muyuni Jaku Hashim Ayuob aliyetaka kujua iwapo bei mpya ya Karafuu imesaidia kuinua kipato cha wakulima.

Thuwaiba amevitaja viashiria hivyo vya kiuchumi kuwa ni pamoja na kuongezeka kwa ujenzi wa nyumba za kudumu na za kisasa,kuongezeka kwa ununuzi wa vipando kama vile magari na pikipiki na ongezeko la uanzishwaji wa miradi midogo midogo ya maendeleo.

Kikao hicho kidogo cha Baraza la Wawakilishi kimenza leo katika Ofisi zake zilizoko Mbweni nje kidogo ya mji wa Zanzibar ambapo inatarajiwa kuchukua muda wa wiki mbili.
[ Read More ]

Tujihadhari na utapeli huu


Nilikua njiani naelekea ofisini kwangu, nikiwa mitaa ya Darajani Zanzibar simu yangu iliita aliyenipigia alijitambulisha na nilikua simjui, alisema yupo Mkoani Kigoma anafanya kazi shirika moja la kimataifa, alinieleza anahitaji mtu wa kushirikiana naye katika mambo ya kibiashara anayetoka Zanzibar, alidai alipatiwa namba yangu na moja kati ya rafiki zangu wanao ishi Uk, na hakutaka nimuulize niliendelea kumsikiliza.
Akaanza kunielekeza anafanya Biashara ya kununua Product ambayo inahifadhi vyakula visiharibike na akanipatia namba ya mtu anayehusika katika utengenezaji wa production na jina lake akadai anaitwa Ibrahim na anapatikana Mahonda Zanzibar, akaniambianimpigie Ibra kumuuliza kama hiyo Production ipo na inapatikana kwa bei gani, nilimpata Ibrahim na akanieleza wanazo bidhaa kutoka ncho tofauti lakini best zinatoka Sweeden na bei yake kwa chupa 2 ni T shs 1,200,000/= nikamjibu yule jamaa aliyenitambulisha kwa Ibra kwamba bei yake ndio hiyo, baada ya hapo akaniambia kwamba pia wapo mabosi wake wa kizungu wamefikia Zamani Kenpisky Hotel Pwani Mchangani wananunua hiyo bidhaa kwa bei ya juu sana mara 2 ya bei ya kununulia, wakati nawasiliana na hawa jamaa tokea dakika ya kwanza niligundua kwamba hawa ni matapeli na nilichukua hatua za kuripoti tukio hili kituo cha Polisi na walifika kwa wakati nikawa nawashirikisha katika mawasiliano na hawa matapeli.
Polisi niliwapatia namba za simu za hawa jamaa wakaweza kuzifanyia utafiti na wakagungua wenye kuzimiliki, na sasa baada ya muda mfupi nilipokea simu kutoka kwa mtu aliyejitambulisha kwamba anaitwa Fred yupo Kenpsky na ameelekezwa kwangu kuja kununua Product mimi sikujivunga nikamwambia zitapatikana ndio hapo akaniambia kabla sijapeleka mzigo nimpelekee sample 1 pair ili akiridhika nao ndio tunaondoka pamoja na kwenda kuchukua mzigo wote.
Nikamweleza yule jamaa aliyenipigia simu mwanzoni kwamba wanunuzi wanahitaji sample wakiridhika ndio wanunue mzigo wote, hivyo akaniambia niwasiliane na Ibra kuhusu sample nikampigia akaniambia beio yake ndio hiyo aliyoniambia hapo juu Milioni moja na laki mbili, nikamjulisha jamaa akaniambia nifanye maarifa nipeleke hizo pesa.
Nikawaeleza Polisi tukaweka mtego baada ya muda kidogo nikawaambia kwamba fedha tayari waniletee mzigo, wakanielekeza walipo wakaniambia wapo Kibweni tukaenda mimi nilitangulia na polisi wakiwa nyumba yangu kwa umbali kidogo, nikapiga simu akaja kijana mmoja akaniuliza ni wewe niliyeagizwa kuhusu mzigo nikamwambia ni mimi na mzigo uko wapi nikupatioe hizo fedha? akaniambia nimsubiri kidogo akaufuate niliendelea kusubiri pale na kupiga simu hakutokea baadae alizima simu kabisa.
Nikawaarifu polisi kwamba jamaa wameshtuka nikarudi ofisini kwangu. nilichoamua kufanya baada ya hapo niliwapigia simu wale jamaa wote tuliokuwa tunawasiliana kwamba nawashukuru sana mzigo nimeupata na tumeshafanya biashara nimemkabidhi jamaa Milioni moja na Laki mbili ispokuwa jamaa aliyepokea pesa alitaka wale jamaa wote wasijue kama tayari ameshapokea fedha.
na nikawashukuru sana sikujua kilichoendelea baada ya hapo, hii ni tahadhari natoa kwa wenzangu wa JF na watanzania tuwe makini na tujiepushe na tamaa za kijinga tutaingizwa mjini.
nawasilisha.
[ Read More ]

Kitu cha round about michenzani na maji ya rangi yamerudi tena.





[ Read More ]

Upakuzi wa Mizigo Ufukwe wa bahari ya Malindi Funguni.







Gari ya mizigo ikiwa imeingia ufukweni mwa bahari ya funguni ikipakia mbao zinazotoka katika jahazi wakati maji yakiwa yametoka, bandari hii hutumika kwa kushushia mizigo aina ya miti na mkaa kutoka Dar-es-Salaam, awali ushushaji wa mizigo ulikuwa ukitolewa juu baada ya ukuta wa bandari hii kuharibika kwa maji ya bahari inakuwa usumbufu wakati wa maji yakiwa yamejaa inakuwa shida uchukuzi wake.
[ Read More ]

Zanzibar Nominated Best Resort in Africa By Russians Internet Users


A cross section of international participants at the Star Travel.ru award ceremony in Moscow
                     

Mr. Mbarouk N. Mbarouk, HOC Embassy of Tanzania Moscow, after receiving the Star Travel.ru award for Zanzibar
Star Travel.ru Diploma for Zanzibar - the best resort in Africa

Tanzania stand at the Moscow International Travel and Tourism Exhibition 2012, Moscow, Russia

Team Tanzania at the MITT 2012 Tanzania Stand with Star Travel.ru award of Zanzibar
Zanzibar became the winner of the annual Russian tourism consumer award "Star Travel.ru"-2011. The islands won the award for "Best Resort in Africa (excluding Egypt)”. Among the 23 resorts nominated by tourists and travelers for the award, Zanzibar gained the most votes.
The official Star Travel award ceremony was carried on 22 March 2012 within the framework of the Moscow International Travel and Tourism Exhibition (MITT 2012). Mr. Mbarouk N. Mbarouk, Head of Chancery of the Tanzanian Embassy in Moscow, received the award on behalf of the Embassy.

“Star Travel.ru "- is the first consumer award in tourism and the only one of its kind in Russia. The prize was conceived in 2003 and is awarded on the results of online voting by tourists and travelers. In 2010 the Star Travel Award for the best resort in Africa (excluding Egypt) was won by Agadir (Morocco)
This year mark the 10th anniversary since Tanzania started regular promotions of its tourism attractions in the Russian Federation by participating in tourism exhibitions, organizing roadshows, seminars, press tours, distribution of brochures etc. The Star Travel award, therefore, is partly recognition of these promotion efforts carried out by tourism stakeholders, namely Tanzania Tourism Board, Zanzibar Tourism Commission, Tanzania National Parks, the Embassy of Tanzania in Moscow and others, over the last 10 years.
[ Read More ]

Bi Tele na Wasanii Wezake Chupuchupu Kupata Kipigo


Wasanii wa maigizo wa kikundi cha Valentine Arts Group cha mtaa wa Jang'ombe, juzi walinusurika kupata kipigo baada ya watu waliohudhuria onesho lao kuzusha vurugu, na wasanii hao kuokolewa na polisi.
Onesho la kikundi hicho lilifanyika katika skuli ya Chumbuni kwa kutunia umeme wa jenereta kutokana na juzi Jumapili nishati hiyo kuzimwa nchi nzima kwa ajili ya matengenezo katika kituo cha Ubungo mjini Dar es Salaam.
Vurugu hizo zilianza mara baada ya kuharibika kwa jenereta hali iliyosababisha kuvunjika kwa onesho hilo.

Hali hiyo iliwafanya baadhi ya watu waliohudhuria kuanza kurusha mawe dhidi ya wasanii hao akiwemo mwanamama aliyejipatia umaarufu kwa jina la Bi Tele anayeigiza uchawi katika igizo la ‘Husdaa’ linalorushwa kila siku ya Jumatano katika kituo cha ZBC Televisheni.
Akizungumza na gazeti hili mara baada ya polisi kudhibiti ghasia hizo, Mwalimu msaidizi wa kikundi hicho Samuel Said Makunga, alisema vitendo hivyo si uungwana, na kwamba wananchi hao hawakupaswa kufanya fujo na badala yake walikuwa wasubiri.
Naye msanii anayetikisha katika igizo la ‘Husdaa’ Bi Tele, alilaani vitendo hivyo na kuongeza kuwa akili za vijana waliohusika navyo zinasumbuliwa na bangi.
Kwa upande wao, baadhi ya wapenzi wa sanaa waliokuwepo, walidai kuwa walilazimika kufanya hivyo kwani tayari walikwishalipa fedha ili kupata burudani hiyo, na kwamba waliamua kuwapa fundisho wasanii hao.
[ Read More ]




A doctor entered the hospital in hurry after being called in for an urgent surgery. He answered the call asap, changed his clothes and went directly to the surgery block. He found the boys father going and coming in the hall waiting for the doctor. Once seeing him, the dad yelled: Why did you take all this time to come? Dont you know that my son's life is in danger? Don't you have the sense of responsibility??The doctor smiled and said: I am sorry, I wasn't in the hospital and I came as fast as I could after receiving the call. And now, I wish you would calm down so that I can do my work??Calm down?! What if your son was in this room right now, would you calm down? If your own son dies now what will you do??? said the father angrily. The doctor smiled again and replied: From dust we came and to dust we return. Doctors cannot prolong lives. Go and pray to God for your son, we will do our best by Gods grace??Giving advice when we're not concerned is so easy? Murmured the father. The surgery took some hours after which the doctor went out happy, Thank God!, your son is saved!?And without waiting for the father.s reply he carried on his way running. If you have any question, ask the nurse!!??
 Father: Why is he so arrogant? He couldnt wait some minutes so that I ask about him my son's state? commented the father when seeing the nurse minutes after the doctor left. The nurse answered, tears coming down her face: His son died yesterday in a road accident, he was in the burial when we called him for your son's surgery. And now that he saved your son's life, he left running to finish the formalities.
 We sometimes feel we have the worst moments and yet there are people whose lives are really messed up but they remain strong enough to carry on our burdens!
[ Read More ]