Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

RIPOTI RASMI YA KIFO CHA BWANA “IMRAN MTUI”

Mnamo siku ya jumapili ya tarehe 31/01/2010, majira ya 9:30 alasiri uongozi wa wanafunzi waishio Bangalore India (TASABA) tulipokea taarifa ya kusikitisha kutoka kwa ndugu wa karibu wa marehemu kuwa kaka yetu mpendwa IMRAN MTUI kuwa tena duniani.
Mnamo majira ya saa tatu usiku mwenyekiti wa jumuiya ya wanafunzi waishio Bangalore (TASABA) Mh. Fidelis Msomekela aliwasiliana na ubalozi wa Tanzania New Delhi kuwafahamisha juu ya msiba wa mpendwa kaka yetu marehemu IMRAN MTUI.
Tarehe 1/02/2010 ofisi ya Ubalozi ilituma mwakilishi wake anayesimamia maswala ya wanafunzi India ili kusaidiana na serikali ya wanafunzi waishio Bangalore kujua chanzo zaidi juu ya kifo cha marehemu Imran Mtui.
Tarehe 2/01/2010, Mwakilishi wa ubalozi pamoja a mwenyekiti wa jumuiya ya wanafunzi Bangalore (TASABA) walifika katika kituo cha polisi kiitwacho ‘Cantonment Railway Police’ ili kupata ripoti kamili juu ya chanzo cha kifo cha marehu Imran Mtui. Ripoti ya polisi ilieleza kuwa mnamo majira ya saa 3:35 asubuhi mkaguzi wa reli alitoa taarifa kwa msismamizi mkuu wa reli kuwa ameona mwili wa marehemu IMRAN MTUI pembeni ya reli K.M No. 339/700-800 karibu na KRISHNARAJAPURAM LOCO SHED (MAHADEVAPUR, BANGALORE).
Taarifa za awali za polisi zinaeleza kuwa chanzo cha kifo cha marehemu Imran Mtui ni Ajali ya kawaida, uchunguzi zaidi unaendelea ili kujua chanzo kamili cha kifo cha ndugu yetu marehemu IMRAN MTUI.
Taratibu zote za kusafirisha mwili wa marehemu IMRAN MTUI zimekamilika, kesho (3/01/2010) majira ya jioni, mwili wa marehemu IMRAN MTUI utasafirishwa kuelekea nyumbani Tanzania kupitia kampuni la shirika la ndege la Emirates mpaka Dar es Salaam na baadae kusfirishwa kuelekea Killimanjaro kwa mazishi.
Uongozi wa Jumuiya ya wanafunzi waishio Bangalore (TASABA) unatoa shukrani za dhati kwa ubalozi wa Tanzania New Delhi kwa ushirikiano na msaada mkubwa walioutoa ili kufanikisha taratibu zote za kisheria na kutoa usafiri wa kumsafirisha ndugu yetu maarehemu IMRAN MTUI mpaka nyumbani kwao Kilimanjaro. Pia uongozi wa Jumuiya ya wanafunzi waishio Bangalore (TASABA), unatoa shukrani za dhati kwa wale wote walioungana na familia ya ndugu yetu mpendwa marehemu IMRAN MTUI kwa hali na mali.
Jumuiya ya wanafunzi waishio Bangalore (TASABA),unaomba wanajumuiya wote kuwa watulivu na kuacha kutoa habari za kizushi juu ya kifo cha marehemu IMRAN MTUI kwa kuwa uchunguzi zaidi bado unaendelea na mpaka sasa hakuna mtuhumiwa yoyote Yule anaye shutumiwa au kushikiliwa na polisi juu ya kifo hicho.
Uongozi wa wanafunzi waishio Bangalore (TASABA) unatoa pole kwa familia ya marehemu IMRAN MTUI. Mungu aiweke mahali pema peponi roho ya ndugu yetu mpendwa marehemu IMRAN MTUI. Amin

Fidelis Msomekela
President – TASABA
[ Read More ]

SURA ZA HUZUNI NA MAJONZI - BANGALORE-INDIA.

Baadhi ya wanafunzi waliokusanyika katika msiba huo wakiwa na nyuso za huzuni.


Sura za Huzuni na Majonzi kwa wanafunzi wa India waliopo Bangalore na Wenzao wa Mysore baada ya kupokea taarifa kutoka kwa Muwakilishi wa Ubalozi Mr. Amon Mwamunenge juu ya maendeleo ya uchunguzi na taratibu za kusafirisha mwili wa Marehemu Imran Mtui kurudi nyumbani kwa ajili ya mapumziko ya amani.
[ Read More ]

Mwanafunzi Mtanzania, Imran Mtui auawa India



Habari zilizopo katika blogu ya Watanzania waishio Bangalore (TASABA), pia katika mtandao wa Twitter zinathibitisha kuwa, mwanafunzi wa Kitanzania, Imran Mtui (31) aliyekuwa anasoma katika Chuo kishiriki Cha Chuo Kikuu cha Bangalore nchini India, amekutwa amekufa huku mwili wake ukiwa hauna kichwa.
Taarifa zinasema kuwa mwili huo ulikutwa kando kando ya reli katika eneo la Shivajinagar katika mji wa Bangalore ukiwa hauna kichwa huku mguu mmoja ukiwa umejeruhiwa vibaya.Balozi wa Tanzania nchini India, John Kijazi alithibitisha kutokea kwa tukio hilo.

"Mimi nilipata taarifa hizo juzi jioni ambapo jana tulifanya kikao na wenzangu na kumtuma Ofisa wetu Mzee Amon Mwamanenge na mwanasheria wetu wamekwenda huko kupata undani wa tukio hilo," alisema Balozi Kijazi.

Alisema kuwa kwa sasa hawezi kutoa picha kamili lakini mwili wa kijana huyo umekutwa ukiwa hauna kichwa na mguu umebondeka. Kijana huyo aliyefariki alikuwa amemaliza Shahada ya Usimamizi wa Biashara (BBM) na alitambulika kwa jina la Imran Mtui. Aliwahi kuwa Mtunza Fedha wa Chama Cha Wanafunzi wa Kitanzania Waishio Bangalore (TASABA).

Habari hizi zimedhibitishwa na mdogo wa marehemu, Issa Mtui, kwa njia ya simu akiwa safarini kuelekea Marangu, Moshi. Alieleza kuwa mwili wa marehemu unategemewa kuwasili nchini Alhamisi ya wiki hii kwa ajili ya taratibu za mazishi ambayo yatafanyikia Marangu.
Imrani ni wa pili kuzaliwa kati ya watoto wanne kwenye familia hiyo. Inadaiwa kuwa kabla mauti haijamkuta alitarajiwa jana angekuwa amerejea nchini baada ya kuwa amechukua vyeti vyake vya masomo ambavyo alikuwa akivisubiri baada ya kuhitimu masomo yake.

Polisi nchini India wanaendelea na jitihada za kuwatafuta watuhumiwa wa tukio hilo.
[ Read More ]

TANGAZO..

TAARIFA KAMILI YA KAMATI YA KUFUATILIA MSIBA WA KAKA YETU IMRAN MTUI CHINI RAIS WA TASABA NA MUWAKILISHI WA UBALOZI MR.AMON MWAMANENGE ITATOLEWA BAADAE USIKU HUU.TAARIFA ITAHUSISHA TAARIFA ZILIZOTOLEWA NA POLISI,HOSPITALI NA KAMPUNI YA RELI KUHUSU KIFO CHA KAKA YETU IMRAN MTUI.TUNAOMBA RADHI KWA KUCHELEWESHWA KWA TAARIFA KWANI TULIKUA HATUWEZI KUZUNGUMZA LOLOTE MPAKA TUPATE RIPOTI RASMI YA KAMATI HII AMBAYO IMECHELEWA KUTOKANA NA SABABU ZILIZO NJE YA UWEZO WAO.TUNAKUMBUSHA YA KWAMBA TUSINGEWEZA KUANDIKA TETESI TULIZO SIKIA KUHUSIANA NA MSIBA HUU KWANI ZILIKUA NI TAARIFA ZISIZO RASMI.

TASABA SPOKESMAN
JUMANNE MTAMBALIKE
[ Read More ]

TAARIFA YA MSIBA




INNA LILAHI WA INNA ILAIHI RAJI'UNA!.


Tunasikitika kutanga kifo cha mpendwa wetu wanafunzi mwenzetu.Imran Mtui.kilichotokea huko Bangalore India kwa ajali. .Taratibu za kuusafirisha mwili wa marehemu kwenda Tanzania kwa ajili ya mazishi zinaendelea.

fromcoast inatoa pole kwa Familia,ndugu, jamaa na marafiki wote.Mungu awape uvumilivu hasa katika kipindi hichi kigumu..

habari zaidi zitawajia hapo baadae

Sisi tulimpenda lakini Mungu amempenda zaidi..
mungu ailaze roho ya marehemu pahala pema peponi.

AMIN.


[ Read More ]

Apple unveils new tablet computer, the iPad


Apple Inc CEO Steve Jobs took the wraps off the highly anticipated "iPad" tablet and pitched it at a surprisingly low price aiming to bridge the gap between smartphones and laptops.
Jobs, who returned to the helm last year after a much-scrutinized liver transplant, took the stage at a packed theater on Wednesday and showed off a sleek, half-inch thick tablet computer with a 9.7-inch touchscreen.

The iPad can run movies, games and a gamut of applications. And taking on e-readers like Amazon's Kindle, Apple announced a digital bookstore called iBooks that will let users buy from publishers including Pearson Plc's Penguin, News Corp's HarperCollins, and Hachette Book Group.

"What once occupied half your living room can now be dropped in a bag," said NPD analyst Ned May. "It's pulling together a variety of needs (in) a universal entertainment device."

The iPad will sell from late March for as low as $499 for 16 gigabytes of storage. An extra $130 is needed to equip it with third-generation wireless capability.

"Pricing is very aggressive, so it's pretty positive from a mass adoption perspective. It was about $200 lower than what I was expecting," said Brian Marshall, an analyst with Broadpoint Amtech.

Other analysts had speculated that the tablet may cost as much as $1,000.

Shares of Apple rose to as high as $210.58 after the pricing news, up 5.5 percent from their session low. The stock closed up 0.94 percent at $207.88 on Nasdaq, within reach of its all-time high of $215.59 logged on Jan 5.

Apple announced a data plan with AT&T Inc, which appeared to have beaten out Verizon Wireless for the deal. .


[ Read More ]

cartoons.

[ Read More ]

Man hits Israeli chief justice with a shoe, knocks her off her chair.


An unidentified man hurled his sneakers at Israel's chief justice, striking her between the eyes and knocking off her chair.Israel radio said.State radio says Supreme Court Chief Justice Dorit Beinisch was taken to her office for treatment after the incident. Her condition was not immediately clear.

Israel Radio said the man flung two sneakers from the back of the courtroom and yelled, "You're corrupt."

The incident took place today during a hearing on medical marijuana. It was unclear whether the attack was linked to the case.

Police confirmed a sneaker was hurled at judges during a court proceeding, but did provide any other details.

They said security guards subdued the attacker and called police, who took the man into custody.
[ Read More ]

Ethiopian airliner crashes after takeoff from Beirut


An Ethiopian Airlines plane with 90 people on board crashed into the Mediterranean sea shortly 
after taking off from Beirut international airport in the early hours of Monday, airport sources said.
The Boeing 737-800 disappeared off the radar some five minutes after taking off, shortly after its scheduled departure time of 2:10am (0010 GMT), during a thunderstorm and heavy rain, the sources said. It was heading for Addis Ababa.

Eight-two passengers and eight crew were aboard, according to the plane's manifest, the sources said. About 50 passengers were Lebanese nationals, three with dual nationalities: British, Canadian and Russian. Most of the others were Ethiopians.

According to one source, residents on the coast saw a "ball of fire" crashing off Na'ameh village, a few kilometres (miles) south of the Lebanese capital. Senior Lebanese officials and some family members of Lebanese passengers headed to Rafik Hariri International Airport after news of the crash. The plane had flown in from Addis Ababa earlier in the night, the sources said.

State-owned Ethiopian Airlines, which could not immediately be reached for comment, has positioned itself as a major player in international air traffic in Africa and has recently expanded its Asian network. Last Friday it announced an order for 10 of Boeing's Next-Generation 737-800s for a total price of $767 million.
[ Read More ]

Cameron gets PETA Award for empathetic message in 'Avatar'



'Avatar' is continuing to bring more laurels for filmmaker James Cameron as he has now been honoured by animal rights group PETA with the 2010 Proggy Award for Outstanding Feature Film.


The 55-year-old director has been awarded for the inspiring message in his Golden Globe-winning blockbuster film 'Avatar', which stresses the interconnectedness of nature and the importance of treating all living beings with respect and dignity, no matter how 'strange' or 'alien', PETA's website said.


"We hope viewers will come away from Avatar with a new way of looking at the world around them and the way we treat our fellow earthlings," PETA Senior Vice President Lisa Lange said in a statement.


Cameron will receive a framed certificate as well as a letter of congratulations from PETA who have applauded the movie's stunning special effects, which beautifully illustrate how unnecessary it is to subject animals to the stress of a film production.
[ Read More ]