
Ma is 102. And as she slipped into her desk in a row of five-year-olds she became the world's oldest first-year pupil.
Ma,who looks 40 years younger than her age, never got a chance to go to school as a child.
She started work in a cotton mill at the age of 13. She was married at 18 and gave birth to nine children. Seven of them went on to university.
But she had always longed for a propereducation which was how she came to be seated in the front row of Grade One of Weshan Road Elementary School.
The new pupil wears a hearing aid and carries a big magnifying glass to help her during spelling lessons. She was supported by her son Yi Fengxin, a sprightly 58, as she came into class.
"I feel very happy that I can finally realise my dream of going to school at this age," said Ma.
The school offered her a place after reading about her long-held ambition when she was interviewed by a local newspaper.
She had sacrificed a lot to give her children a proper education.
Her son, Yi, said.: "My mother even sold her jewellery to help put us through school and her biggest dream was to go to school one day herself."
At the end of her first day at school Ma gave the class a stirring address: "Thank you teacher! Thank you my classmates! I'll study hard and make my contribution to the country."




PRESENTATION BY MUHIDIN ISSA MICHUZI AT DIASPORA 2 CONFERENCE


Kwa mujibu wa mwanamke aliyejitambulisha kwa jina la Chaudama Emanuel, wanandoa watarajiwa waliopoteza maisha ni Justin na Helen.
Akifafanua kila kitu, Chaudama alisema kuwa Justin na Helen walipata ajali hiyo walipokuwa wanakwenda kwenye Kituo Kikuu cha Mabasi yanayokwenda mikoni na nchi jirani, Ubungo ambako walikuwa wapande basi la Hood kwenda Moro.
“Kwanza kulikuwa na ubishi wa wao wenyewe, masikini mdogo wangu (Justin) alitaka wasubiri basi hapa hapa Kibamba, lakini wifi akataka wakapandie Ubungo, kwahiyo Justin akamsikiliza mchumba wake kumbe walikuwa wanafuata wito wa Mungu,” alisema Chaudama.
Aliongeza: “Walikuwa wanakwenda Morogoro kufuata michango ya harusi, walitakiwa kurudi leo leo (juzi) jioni au kesho (jana) asubuhi na ndoa yao ingefungwa Jumamosi (leo) kanisani kwa sababu sisi ni Wakatoliki.”
Wakati hali ikiwa hivyo kwa Justin na Helen ambao pumzi yao ilikatika siku mbili kabla ya kutimiza tukio muhimu katika historia ya binadamu, yaani ndoa, ‘ishu’ nyingine ya kusikitisha ni kuwa, mwanamke aliyekuwa amesotea mtoto kwa muda mrefu, akiwa njiani kwenda kujifungua kwenye hospitali ya Mwananyamala, Dar ni mmoja wa abiria waliopoteza maisha hali inayotafsiriwa na wakazi wa Kibamba kuwa ni mkosi wa mji huo.
Katika ushuhuda wa gazeti hili baada ya ajali hiyo, mtoto mchanga akiwa amepoteza maisha, alitokeza kwenye tumbo la mama huyo, tukio ambalo liliwaliza wengi walioshuhudia.
Shuhuda mmoja aliyezungumza na gazeti hili eneo la tukio na kueleza kwamba anamfahamu mwanamke huyo aliyekuwa mjamzito, alisema kwamba alikuwa na mumewe wakienda hospitali ya Mwananyamala baada ya kushikwa na uchungu.
“Walikuwa wanakwenda hospitali Mwananyamala, sasa Mungu ana yake ndiyo maana wamepata ajali kabla ya kufika hospitali. Inasikitisha sana,” alisema mtoa habari wetu huku akijifuta machozi.
Katika ajali hiyo, Lori la kubeba mafuta lenye namba za usajili T192 ABP, lililiangukia daladala aina Hiace na kuua abiria wote waliokuwemo.
Uchunguzi wa gazeti hili umebaini kwamba, katika idadi hiyo, waliopoteza maisha ni wanaume wanane na wanawake watatu.
Kutokana na ajali hiyo, waandishi wetu walizunguka mitaa mbalimbali ya eneo la Kibamba ambako ndiko inasemekana watu wengi waliopoteza maisha wanaishi, na kushuhudia nyumba nyingi zikiwa katika hali ya utulivu.
Picha iliyoshuhudiwa na Risasi Jumamosi ni kuwa japo si kila nyumba iliyokutwa na msiba lakini uzito wa tukio hilo, ulivuta hisia za watu wengi ambao waliungana na wafiwa kuomboleza.
chanzo cha habari hii:GLOBAL PUBLISHER.
mwili ukiwa umenasa kwenye gari hilo
Ajali hiyo ya kutisha imesababisha vifo vya watu 7 waliokuwa ndani ya basi dogo, baada ya lori hilo kulilalia basi hilo lililokuwa likitokea Kibamba kwenda Ubungo. Akiongea na mwandishi wetu aliyefika eneo tukio, Kamanda Mkuu wa kikosi cha Usalama barabarani, Mohamed Mpinga , alisema kuwa basi hilo dogo aina ya Hiace lilikuwa na abiria saba ambao wote wamefariki dunia, na kati ya maiti hizo, ni maiti mbili tu ndizo zilizoweza kutolewa hadi muda huu tena zikiwa vipandevipande.
Katika maiti hizo zilizotolewa, moja ni ya mwanamke ambae hakuweza kutambuliwa kwa wakati ule na na mwanaume aliyetambuliwa kwa jina la Shukuru Hussein, maarufu kama Kibwetere, mkazi wa Kibamba. Aidha Kamanda Mpinga aliongeza kuwa bado utaratibu unaendelea kwa kuwa lori lilikuwa limejaza mafuta hivyo imeleta ugumu katika utoaji hadi mzigo wote utakapoisha na kuweza kufanya utaratibu wa utoaji.
Kamanda Mpinga aliweza kumtaja dereva wa lori ambaye amekimbia mara baada ya tukio hilo kutokea kuwa ni Kudura Adam na mmiliki wa Lori hilo ametambuliwa kwa jina la Mahamudu Mohamed.
Hata hivyo baada ya ndugu wa mmiliki wa Hiace kupatikana na kudai mwenyewe yuko Mkoani Kilimanjaro, walisema kuwa mmiliki huyo anaitwa Selemani Khalfan na Hiace yake huwa inalala Ubungo Kibo maeneo ya Rombo na kumtaja Dereva wa Hiace hiyo kwa jina moja kuwa ni Seif na Kondakta wake Faraji Ismail Kalama ambao mpaka sasa bado maiti zao hazijatolewa eneo la ajali.
gari linaloonekana ndio lilikuwa gari la Prez wa kwanza wa Zanzibar Marehemu A.Karume.
Katika miaka hiyo ya 18' jumla ya milango 806 ilitengenezwa. Hiki kilikuwa ni kipindi cha Sultan Bargash.
Zaidi baadhi ya milango hiyo imetiwa vyuma umbo la koni nyenye ncha kali ikiwa ni kama silaha ya kujikinga na uvamizi wa Tembo.
Mamlaka ya Hifadhi na Uendelezaji wa Mji Mkongwe, inastahili kupongezwa kwa kuhakikisha kuwa aina hii ya milango inaendelea kutumika katika Mji Mkongwe. Hii ni kutokana na kuwepo na wimbi kubwa la kung'olewa kwa milango hiyo katika miaka ya 80 kwa lengo la kuuzwa. Adhia kuwepo kwa ubadilishaji wa milango hiyo kutokana na kufanyiwa matengenezo ya nyumba.
picha na habari kutoka:kibunango.blogspot.com














.jpg)


