Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

POINTS ON HOW TO IMPROVE OUR LIVES!!!! READ ON!!!!

Personality:
1. Don't compare your life to others'. You have no idea what their journey is all about.
2. Don't have negative thoughts of things you cannot control. Instead invest your energy in the positive present moment
3. Don't over do; keep your limits
4. Don't take yourself so seriously; no one else does
5. Don't waste your precious energy on gossip
6. Dream more while you are awake
7. Envy is a waste of time. You already have all you need..
8. Forget issues of the past. Don't remind your partner of his/her mistakes of the past. That will ruin your present happiness.
9. Life is too short to waste time hating anyone. Don't hate others.
10. Make peace with your past so it won't spoil the present
11. No one is in charge of your happiness except you
12. Realize that life is a school and you are here to learn.
Problems are simply part of the curriculum that appear and fade away like algebra class but the lessons you learn will last a lifetime.
13. Smile and laugh more
14. You don't have to win every argument. Agree to disagree.


Community:
15. Call your family often
16. Each day give something good to others
17. Forgive everyone for everything
18. Spend time with people over the age of 70 & under the age of 6
19. Try to make at least three people smile each day
20. What other people think of you is none of your business
21. Your job will not take care of you when you are sick. Your family and friends will. Stay in touch.


Life:

22. Put GOD first in anything and everything that you think, say and do.
23. GOD heals everything
24. Do the right things
25. However good or bad a situation is, it will change
26. No matter how you feel, get up, dress up and show up
27. The best is yet to come
28. Get rid of anything that isn't useful, beautiful or joyful
29. When you awake alive in the morning, thank GOD for it
30. If you know GOD, you will always be happy. So, be happy.

While you practice, all of the above, share this knowledge with the people you love, people you school with, people you play with, people you work with and people you live with. Not only will it enrich YOUR life, but also that of those around you.

  MAY GOD BLESS US ALL!
[ Read More ]

IF TOMORROW NEVER COMES

Strucking with the pain of learning that sometimes there isn't "anymore."

No more hugs, no more special moments to celebrate together, no more phone calls just to chat, no more "just one minute." Sometimes, what we care about the most 


gets all used up and goes away, never to return before we can say good-bye, or say "I love you." So while we have it, it's best we love it and care for it,  This is true for the people we love... 

children with bad report cards, family and aging parents and grandparents. 
We keep them because they are worth it ...... because we are worth it. 

Some things we keep -- like a best friend who moved away or a relative 
There are just some things that make us happy, no matter what.  
Life is important. We only have one!!! 

We only have one mom, one dad, one unique brother or sister or friend. 
Suppose one morning you never wake up. 
Do all your friends know you love them? I was thinking....I could die today, tomorrow or next week, and I wondered if I had any wounds needing to be healed, friendships that needed rekindling or three words needing to be said. 

Let every one of your friends and family know that you love them. Even if you think they don't love you back, you would be amazed at what those three little words and a smile can do. 
And just in case GOD calls me home . . . 
I LOVE YA! 
Live today to the fullest because tomorrow is not promised.
[ Read More ]

Profesa Mwandosya Ziarani India

mwa6.jpg (428×315)
Waziri wa Maji na Umwagiliaji Profesa Mark Mwandosya yuko india wiki hii kwa ziara fupi kwa mwaliko wa Dr Rajendra Pachauri (pichani shoto) Mkurugenzi mkuu wa Tata Energy and Resource Institute (TERI) na Mwenyekiti wa Jopo la kimataifa la Wataalam wa mabadiliko ya Tabiachi (International Panel on climate Change IPCC) DrRajendra Pachauri ni mshindi wa tuzo ya Nobel ya Amani ya mwaka 2009 ambayo akiwakilisha IPCC alipokea tuzo pamoja na Bw. Al Gore Makamu wa Rais Msitaafu wa Marekani.Profesa Mwandosya na Dr Pachauri wamezungumzia maswala ya maji, nishati, mazingira, maliasili,ushiriano na maendeleo endelevu. Profesa Mwandosya ametembelea Chuo Kikuu cha TERI na Kituo Kikuu cha utafiti cha TERI.
mwa5.jpg (432×322)
Profesa Mwandosya akimkabidhi zawadi Makamu Mkuu wa Chuo kikuu cha TERI, Profesa Bhavit Bakishi.
mwa4.jpg (384×284)
Profesa na Mama Mwandosya wakipata maelezo ya utafiti katika matumizi ya mionzi ya jua kwa umeme wa nyumbani katika maabara ya chuo kikuu cha TERI
mwa3.jpg (382×283)
Profess akipata maelezo kuhusu biotechnologia katika kituo cha utafiti cha TERI nje kidogo ya new Delhi


mwa2.jpg (365×255)
Profesa Mwandosya alipata nafasi kuwatembelea wa Tanzania waliolazwa katika hospitali ya Apollo, New Delhi. Hapa anasalimiana na Meja Generali (Msitaafu) Silas Mayunga
mwa1.jpg (478×312)
Profesa Mwandosya akiwa na badhi ya wafanyakazi wa ubalozi, new delhi, India. Toka shoto ni Mama Kiondo, Profesa, Nd. Mwamanenge na Mama Amina

[ Read More ]

TITANIC ACTRESS DIES AT 100

Veteran hollywood actress Gloria stuart.best remembered as the elderly kate winslet in oscar-winning superhit TITANIC dies on sunday night at her west los angeles home.she wa 100..
[ Read More ]

UZUSHI KUHUSU MADHARA YA MAWASILIANO YA SIMU





JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

UZUSHI KUHUSU MADHARA YA MAWASILIANO YA SIMU

Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imepata malalamiko kutoka kwa watumiaji wa simu za mkononi kwamba kuna ujumbe unaosambazwa kwamba ukipokea simu utapata madhara.

Mamlaka ya Mawasiliano inapenda kuwahakikishia wananchi kwa ujumla kwamba taarifa zinazoenezwa ni za uzushi na sio za kweli. Wananchi wanaombwa kupuuza uzushi huo kwa kua hauna ukweli wowote.
Kutokana na maendeleo ya sayansi na teknolojia, kuna tafiti nyingi zimefanyika sehemu nyingi duniani, ambazo zimeonyesha kwamba kiwango cha mawimbi ya mawasiliano hakina madhara kwa afya ya binadamu. Mamlaka inashauri watumiaji wa huduma na wananchi wote kwa ujumla, kuendelea kuwa na imani na teknolojia mpya zikiwemo za mawasiliano ya simu, utangazaji na utumiaji wa kompyuta, ambazo hutumiwa ulimwenguni kote bila kuleta madhara yoyote.
Madhumuni ya Mamlaka ya Mawasiliano na watoa huduma za mawasiliano kwa ujumla ni kuwaletea wananchi wa Tanzania mawasiliano bora kwa kujenga miundombinu, kutoa huduma bora na matumizi mema.

Uzushi unaoenea upuuzwe kwa kuwa hauna ukweli wowote.

Imetolewa na:

Mkurugenzi Mkuu
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania
03 Septemba 2010
[ Read More ]

Asha Ngedere: Ze Komedi

[ Read More ]

Orijino komedi na uchawi na wanga

[ Read More ]

WAZAZI WA MTOTO ALIYEZALIWA MZUNGU UINGEREZA KUPIMWA DNA



WAZAZI wa mtoto aliyezaliwa mzungu nchini Uingereza wamekubali uamuzi wa wataalamu wa vina saba kumfanyia uchunguzi mtoto huyo.

Habari kutoka nchini humo zimeeleza kuwa wazazi hao Benjamin na Angela wamekubali mtoto huyo wa kike afanyiwe uchunuzizaidi ili kuibaini sababu za kuzaliwa akiwa katika hali kama hiyo.

Mtaalamu wa vina saba kutoka Chuo Kikuu cha London Dkt.Mark Thomas amesema kuwa ana wasiwasi huwenda kuna mchanganyiko wa chembechembe nyeupe na zile na zile zinasobabbisha mtu kuwa na ulemavu wa ngozi albino.

Baba mzazi wa binti huyo Benjamni kwa upande wake amesema kuwa lichabya kukubali matokeo ya jinsi mtoto huyo alivyo,bado wataendelea kutafuta sababu za mtoto huyo kuzaliwa hivyo.

Mtoto huyo alizaliwa na wazazi weusi ambao ni raia wa Uingereza wenye asili ya Nigeria na inaelezwa kuwa katika familia yao hawana historia ya kuzaliwa mtu wa aina kama hiyo.Benjamin ambaye ni mshauri wa huduma kwa wateja alisema kuwa alipomuona mtoto huyo kwa mara ya kwanza alishtuka lakini baadaye akasema kuwa ni mwanaye na anamuamini sana mkewe.

Alisema mkewe ni mwaminifu kwake sana na walihamia nchini humo wakitokea Nigeria miaka mitano iliyopita. 

[ Read More ]

BREKING NYUUUUZZZZZ: PROFESA MWAIKUSA AUWAWA JIJINI DAR


Marehemu Profesa
Jwani Timothy Mwaikusa

Habari zinasema Wakili na Mwanasheria nguli na Mhadhiri mwandamizi wa chuo kikuu cha Dar es salaam Prof. Jwani Timothy Mwaikusa amefariki dunia baada ya kuuwawa na watu wasiojulikana usiku wa kuamkia leo wakati akirejea nyumbani kwake maeneo ya Salasala jijini Dar es salaam.

Prof. Mwaikusa pia alifanya kazi katika mahakama ya kimataifa ya I.C.T.R Arusha na alikua rafiki wa mahakama ambaye alitetea vizuri hoja alizowasilisha kuhusu mgombea binafsi.

Kwa wale waliosoma literature A- Level kama mimi, Prof. Mwaikusa pia alikua mwandishi mzuri wa poems ambazo wengi wetu tulizijibia mitihani.
Pamoja nae pia ameuwawa mwanae aliyekua akitoka nje kumfungulia geti, na mtu baki aliyekua akipita njia.

Kwa jicho la kawaida tu, haya yatakua mauaji ya kisasi au ya kumnyamazisha kuhusu jambo fulani kwakua habari za awali zinasema wauwaji hao hawakuiba kitu chochoteSee More

source:issa michuzi.
[ Read More ]

RAIS KIKWETE AMTEUA RASMI DR GHALIB BILAL KUWA MGOMBEA MWENZA



Mgombea wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kupitia chama cha Mapinduzi CCM rais Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Dr. Ghalib Bilal kutoka Zanzibar kuwa mgombea mwenza kupitia CCM kwenye uchaguzi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika uchaguzi ujao utakaofanyika Oktoba mwaka huu na kupelekea ukumbi mzima wa Chimwaga kulipukwa na mayowe ya vifijo na nderemo.
[ Read More ]