Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

DK SHEIN AZUNGUMZA NA WATENDAJI WA WIZARA ZA AFYA, ARDHI, MAKAAZI MAJI NA NISHATI



Baadhi ya watendaji wa Wizara ya Ardhi,Makaazi,Maji na Nishati, wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzibar Dk Ali Mohamed Shein,akizungumza na Uongozi wa Wizara ya hiyo kuhusu azma ya serikali katika kuwaletea maendeleo wananchi wake,kwa kipindi cha mwaka mmoja ujao,  kupitia bajeti ya mwaka 2011-2012
  Baadhi ya watendaji wa Wizara ya Afya wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein,akizungumza na Uongozi wa Wizara ya hiyo kuhusu azma ya Serikali katika kuwaletea maendeleo wananchi wake,kwa kipindi cha mwaka mmoja ujao,  kupitia bajeti ya mwaka 2011-2012,
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi  Dk Ali Mohamed Shein,akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Afya Ikulu mjini Zanzibar jana,na kujadili namna ya utekelezaji wa majukumu ya Wizara hiyo kwa kipindi cha mmoja ujao,hasa kupitia bajeti ya mwaka 2011-2012,(kushoto) Makamo wa Kwanza wa Rais Maalim Seif Sharif Hamad
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzibar Dk Ali Mohamed Shein,akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Ardhi,Makaazi,maji na Nishati, Ikulu mjini Zanzibar jana,na kujadili namna ya utekelezaji wa majukumu ya Wizara hiyo kwa kipindi cha mmoja ujaohasa kupitia bajeti ya mwaka 2011-2012,(kushoto) Makamo wa Kwanza wa Rais Maalim Seif Sharif Hamad
[ Read More ]

Mashirika ya misaada yaonya juu ya baa la njaa Pembe ya Afrika




Takriban watu milioni mbili katika maeneo ya pembe ya Afrika yaliyokumbwa na ukame wameathiriwa vibaya na baa la njaa lililokumba baadhi ya maeneo ya nchi zaKenya, Ethiopia, Djibouti na Somalia.
Wasiwasi huo wa kuongezeka kwa baa hilo unakuwa wakati ambapo kamati ya bunge la Marekani inayohusika na masuala ya kuratibu fedha za misaada ikipendekezwa kupunguziwa bajeti kwa Shirika la misaada la Kimataifa la Marekani -USAID-  kwa mwaka wa fedha wa 2012 kwa kiasi cha dola za nchi hiyo milioni 488 kutika kiwango cha mwaka uliopita na dola milioni 705 pungufu ya ilivyopendekeza serikali ya Rais Barack Obama.
Mpaka sasa Marekani imetoa kiasi cha dola milioni 570 kupambana na baa la njaa katika eneo la pembe ya Afrika. Mkuu wa Utawala msaidizi wa shirika hilo la misaada la Marekani Donald Steinberg amesema iwapo bajeti yao itapunguzwa katika kutoa msaada wa chakula kutatokea madhara.
Wakati hali hiyo ya wasiwasi ikijitokeza, Shirika la Mpango wa Chakula Duniani -WFP- limesema mashirika ya misaada yanashindwa kuwafikia zaidi ya Wasomali milioni mbili katika maeneo yaliyoathiriwa zaidi na baa la njaa kutokana na kundi la wapiganaji la Al Shabaab kuyazuia mashirika mengi ya misaada yasifike katika maeneo hayo.
Hata hivyo hali katika mji mkuu wa Somalia Mogadishu imekuwa na afueni, ambapo Msaidizi wa Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa anayeshughulikia misaada ya dharura Valerie Amos kusema kwamba idadi ya wakimbizi wa Kisomali  wanaokimbili nchini Somalia imepingua tangu wapiganaji wa Al Shabaab kujiondoa katika mji mkuu huo, mwishoni mwa wiki na kufungua njia kwa misaada zaidi kuwafikia walengwa.

Amesema watuwapatao laki moja wameyakimbia maeneo ya kati na kusini mwa nchi hiyo na kukimbilia Mogadishu. Hata hivyo ameonya kwamba hali ya usalama bado siyo nzuri.

Waziri mkuu wa Uturuki amesema ziara hiyo itakuwa ni ya kujionea wenyewe jinsi hali ilivyo katika taifa hilo lisilo na usalama duniani.Katika hatua nyingine Waziri mkuu wa Uturuki Tayyip Erdogan amearifu kwamba atayatembelea maeneo yaliyokumbwa na baa la njaa nchini Somalia akiwa pamoja na familia yake katika siku zijazo. Katika ziara hiyo pia atakuwemo Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Uturuki. Imekuwa nadra sana kwa viongozo duniani kuitembelea nchi hiyo kutokana na kukosa usalama.
Baa la njaa nchini Somalia limesababisha asilimia 10 ya watoto nchini humo walio na umri chini ya miaka 10 kufariki dunia kila baada ya wiki 11.
Mjumbe maalumu wa Umoja wa Mataifa anayeshughulikia misaada Catherine Bragg ameelezea juu ya kina mama wanavyolazimika kuwaacha watoto wao wachanga wakifa njiani, wakati wanapotembea kwa wiki nyingi wakitafuta usalama.
Mjumbe wa Umoja wa Mataifa anayehusika na  Somalia Augustine Mahiga amesema karibu  watu milioni 3.7,nusu ya idadi ya jumla Wasomali,  wako katika hatari ya kukumbwa na baa la njaa.

habari na dw.
[ Read More ]

Life Still Has A Meaning



If there is a future there is time for mending-
Time to see your troubles coming to an ending.

Life is never hopeless however great your sorrow-
If you're looking forward to a new tomorrow.

If there is time for wishing then there is time for hoping-
When through doubt and darkness you are blindly groping.

Though the heart be heavy and hurt you may be feeling-
If there is time for praying there is time for healing.

So if through your window there is a new day breaking-
Thank God for the promise, though mind and soul be aching,

If with harvest over there is grain enough for gleaning-
There is a new tomorrow and life still has meaning.
[ Read More ]

RAMADHAN KAREEM




[ Read More ]


UNDERSTAND THE MEANING OF RAMADAN AND LETS RESPECT THE COMING HOLY MONTH...!!!

 بسم الله الرحمن الرحيم
اللهم مالك الملك تواتي الملك من تشاء وتنزع الملك ممن تشاء وتعز من تشاء وتذل من تشاء بيدك الخير كله انك علي كل شي قدير اللهم انزع الملك من معمر لانه ظلم وتجبر اللهم ولي علينا اخيرنا

Ramadan is the ninth month of the Islamic lunar calendar. Every day during this month, Muslims around the world spend the daylight hours in a complete fast.

During the blessed month of Ramadan, Muslims all over the world abstain from food, drink, and other physical needs during the daylight hours. As a time to purify the soul, refocus attention on God, and practice self-sacrifice, Ramadan is much more than just not eating and drinking.
Muslims are called upon to use this month to re-evaluate their lives in light of Islamic guidance. We are to make peace with those who have wronged us, strengthen ties with family and friends, do away with bad habits -- essentially to clean up our lives, our thoughts, and our feelings. The Arabic word for "fasting" (sawm) literally means "to refrain" - and it means not only refraining from food and drink, but from evil actions, thoughts, and words.
During Ramadan, every part of the body must be restrained. The tongue must be restrained from backbiting and gossip. The eyes must restrain themselves from looking at unlawful things. The hand must not touch or take anything that does not belong to it. The ears must refrain from listening to idle talk or obscene words. The feet must refrain from going to sinful places. In such a way, every part of the body observes the fast.
Therefore, fasting is not merely physical, but is rather the total commitment of the person's body and soul to the spirit of the fast. Ramadan is a time to practice self-restraint; a time to cleanse the body and soul from impurities and re-focus one's self on the worship of God.

Source: Muslim World
[ Read More ]

FROMCOAST BLOG imerudi hewani ila
 kwa muonekano tofauti na lengo tofauti..na kauli mbiu yetu ni "Inspire Me
 Daily.One Person Can Make a Difference." Plz share with us your 
story,Your Story Can Change Someone's Situation.God may have divinely arranged the situation to enable you have a story to share for a purpose. To use your story to touch someone's life in a similar related problem. To use your story bring hope to hopeless situation. To use your story spice up that dead mind. To give happiness to a life void of it. You must know that no problem is ever "new". It has long existed. It has happened to people before and you will not be last. the story of your life can brings miracle, hope and courage to someone life in various difficulty? To some, their survival may be tied to a little courage from the story of your life.


email me via fromcoast1@hotmail.com and i will publish your story.

[ Read More ]

Know that you can make a difference in the world by being true to yourself, and moving in the direction of your dreams! 
[ Read More ]

WE ARE BACK.


[ Read More ]

INNAA LILAAHI WAINNAA ILAYHI RAAJI'UN - MAULID MOHAMMED MACHAPRALA HATUNAYE TENA


 Waumini wa kiislamu wakiomba duwa baada ya kumsalia
 Baadhi ya waumini waliohudhuria mazikoni wakiitikia duwa iliyokuwa ikiombwa kumuombewa Mzaa Machaprala

 Sehemu ya umati wa waumini waliohudhuria mazishi wakijipanga kwa ajili ya kuliupokea jeneza lililobeba mwili wa Ustaadh Machaprala

WANANCHI wakibeba jeneza lenye mwili wa Marehemu Maulid Machaprala baada ya kusaliwa msikiti Nambari Mwembetanga baada ya sala ya Ijumaa,
[ Read More ]

DK SHEIN ASHIRIKI MAZISHI YA MACHAPRALA



 Rais wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein,akishiriki na waumini wengine wa dini ya kiislamu kusalia Jeneza la marehemu Msanii Mzee Maulid Mohammed Machaprala, katika msikiti Nambar,Kisiwandui Mjini Zanzibar leo.


 Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein,alishiriki  katika mazishi ya Msanii maarufu wa muziki wa Taarab,Maulid Mohamed Machaprala,aliyefariki na kuzikwa jana kijijini Bambi,wilaya ya kati Unguja,pichani Dk  Shein,akitia udongo katika kaburi kama isharakatika mazishi hayo.
Rais wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein,pichani na waislamu wengine wakishuhudia harakati za mazishi ya Msanii Maarufu wa muziki wa Taarab,Maulid Mohamed Machaprala,aliyezikwa kijijini Bambi wilaya ya kati Unguja leo.


Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.
[ Read More ]