Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

Kongamano la Kutathmini Matokeo ya Elimu, Mwanafunzi Awaliza Wazazi


 
Aziza Mohammed mwanafunzi aliyeathirika kufutiwa matokeo yake ya mtihani wa kidatu cha nne aliacha simanzi kubwa ukumbini baada ya kueleza masikitoko yake ya kufutiwa mitihani na kuelezea jeshi la polisi lilivyowanyanyasa wakati wlaipopanga kuandamana kupinga matokeo hayo ambapo licha ya kupata kibali cha maandamano lakini jeshi la polisi liliingilia kati na kuwatawanya kwa kuwarushia mabomu ya machozi na kuwanyanyasa huku wengine wakipigwa na kutupwa katika gari la polisi hivi karibuni, lakini Aziza aliwalaumu wazazi wa wanafunzi hao ambao walishindwa kuwaunga mkono watoto wao katika hilo pamoja na kuwalaumu waandishi wa habari kwa kushinda kuwapa coverage katika tukio hilo


BAADHI ya wazazi ambao watoto wao wamefutiwa matokeo ya mitihani ya kidato cha nne visiwani Zanzibar wanakusudia kulifikisha mahakamni Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) kwa kutoa adhabu hiyo kinyume cha sheria.

Wazazi hao walitoa kusudia hilo mjini hapa jana katika wakati wa mjadala uliowashirikisha wadau mbali mbali wa sekta ya elimu na wanaharakati kujadili uamuzi wa Necta wa kuwafutia matokeo wanafunzi 3,303 kutoka Tanzania bara na Zanzibar na kuwazuia kufanya mitihani kwa muda wa miaka mitatu.

Ameir Hassan Ameir alisema pamoja na kuchukua hatua za kisheria dhidi ya baraza hilo , kuna haja kwa wananchi visiwani humo kuitisha maandamano makubwa kupinga kufutwa kwa matokeo hayo na kushinikiza kuondolewa kwa dhabu dhidi ya wanafunzi.


Akipinga taarifa ya Necta kwamba mitihani hiyo imefutwa kwa sababu ya udanganyifu uliofanywa na wanafunzi, Ameir alisema baraza limeshindwa kuthibitisha udanganyifu huo na hivyo haliwezi kujiondoa katika kashfa ya kuvuja mtihani.

Alisema kushindwa kwa Katibu Mtendaji wa Necta, Joyce Ndalichako kutoa maelezo juu ya idadi na majina ya wananfunzi waliofutiwa mitihani kutoka kila upande wa Muungano, kumeibua hisia kwamba Tanzania bara imeandaa njama za kuua elimu elimu Zanzibar .



“Necta wanayo majina ya shule na namba za shule zote za Zanzibar , hivyo si kweli kwamba hawajui majina ya wanafunzi waliofutiwa mitihani,” alisema Ameir huku akihoji uwepo finyu wa ushiriki wa Zanzibar katika muundo wa Bodi ya Wakurugenzi wa Necta.

Kwa mujibu wa taarifa zilizopatikana wakati wa mjadala huo, bodi ya Necta ina wajumbe 14 na kati ya hao sita wanatoka upande wa Zanzibar .

“Sisi tuna uchungu na Zanzibar yetu, kuvuja kwa mitihani na watoto kufutiwa mitihani ni matokeo ya kero za Muungano. Adhabu ya miaka mitatu itawapotezea watoto wetu muda wa kusoma, Wazanzibari tuungane tulishtaki Necta,” alisema.

Ali Hassan, Mkuu wa zamani wa Wilaya ya Kati, Mkoa wa Kusini Unguja alisema ingawa Necta imeshindwa kutoa idadi ya wanafunzi waliathirika na uamuzi wa kufutwa matokeo, anaamini asilimia kubwa wanatoka upande wa visiwani wa Muungano.

Alisema maelezo ya Mkurugenzi Mtendaji wa Necta mbele ya mkutano na waandishi wa habari Februari 14 mjini hapa yanapaswa kusikilizwa tu na mtu asiyejua chochote na kuongeza kuwa kwa hatua hiyo: “ Mama Ndalinacho amefeli astep down.” Akiwa na maana aachie ngazi.

Faisal Mohamed, ambaye pamoja na Ali walisema ni miongoni mwa waathirika wa watoto wao kufutiwa mtihani alisema alivishambulia vyombo vya habari na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) kwa alichoeleza kuwa kushindwa kuandika kwa kina habari za kashfa ya mitihani na kupokea kutoka Necta na kusaini taarifa bila kudadisi maelezo ya baraza hilo juu ya utata wa matokeo na hatua zilizochukuliwa dhidi ya wanafunzi.

Hata hivyo walalamikaji wote hawakueleza kusudio la kulishtaki baraza litatekelzwa kwa sheria, lakini walisema chini ya makosa ya jinai ni kinyume cha sheria kutoa hukumu ya jumla kwa kosa ambalo ni la mtu mmoja mmoja. Kwa kufuatilia taarifa hii tafadhali nenda katika wall yangu ya facebook ya salma said.
[ Read More ]

whitney houston - I will always love you

[ Read More ]

WHITNEY HOUSTON FUNERAL EARLY TODAY





 Dressed in black: Two women pause to look at the memorial display before they go into the church to pay their last respects to Whitney Houston

Escort: A procession of cars with flowers - one of which is the golden hearse carrying her casket - drive down the Newark street after the service escorted by a police car

The golden hearse carrying the body of singer Whitney Houston bears a photo of her in the window as her family and friends prepare to say goodbye to the star


Death of a star: Pall-bearers carry the casket of pop singer Whitney Houston to a hearse following her funeral service at the New Hope Baptist Church in Newark, earlier today
Denied: Brown is believed to have got into an argument with Whitney's family over whether or not he could bring nine people into the church with him. He was invited and told he could bring two people but instead showed up with an entourage of nine and stormed out when he was told they could not be seated


Final journey: Whitney Houston's silver casket was carried out as her greatest hit I Will Always Love You was played

 Emotional time: Whitney Houston's mother Cissy Houston, 78, was seen arriving at the funeral home for a special private viewing with close friends and family on Friday afternoon

 Sad day: Whitney's daughter Bobbi Kristina was also seen arriving at Whigham Funeral Home in New Jersey yesterday

 Kim Burrell sings one of Whitney's favourite songs, changing the lyrics to make it more personal to the singer
 Not singing: Aretha Franklin, who performed at Radio City Music Hall in New York last night, pulled out of singing at her god daughter Whitney's funeral at the last minute, saying she was 'too ill'

Stevie Wonder said in his fantasy world he had a crush on Whitney before serenading the audience with Ribbons In The Sky
 Singer Alicia Keys was tearful as she walked to the piano and spoke about her friendship with the singer
The Bodyguard co-star: Kevin Costner paid tribute to Whitney Houston today and shared fond memories of his time with the singer with the rest of the congregation

Houston's aunt, singer Dionne Warwick, officiated the service today and took to the altar several times to welcome the singers and speakers to the congregation
First mourner: The Rev Jesse Jackson leaves Whigham Funeral Home after visiting with the family of Whitney Houston before going to the New Hope Baptist Church to prepare for the service


A year later: Whitney Houston and her daughter Bobbi Kristina Brown were pictured together at the 2011 Pre-GRAMMY Gala. She died on the day of the same event this year

Last moments: Whitney Houston's last ever public performance on Thursday February 9 with her close friend Kelly Price. She was found dead two days later

[ Read More ]

WHITNEY FUNERAL


They sang, they cried and they remembered Whitney Houston, the soulful singer who once wowed the congregation at New Hope Baptist Church in New Jersey, before she became a music icon, and a worldwide sensation.
Some of the biggest names in the entertainment industry joined Houston’s friends and family for her funeral at the same church where she first made her name, to remember the life of the woman who sold millions of albums during her life, and touched millions more with her booming voice.“You wait for a voice like that for a lifetime,” said music mogul Clive Davis.”
The funeral service ended with one of Houston’s most popular songs, “I Will Always Love You” filling the air in the packed church.

Some of the celebrities invited to say their final goodbyes to Houston included Tyler Perry, Jennifer Hudson, Kevin Costner, Alicia Keys, Stevie Wonder, and Oprah Winfrey.
“We are here today, hearts broken but yet with God’s strength we celebrate the life of Whitney Houston,” Rev. Joe A. Carter told mourners inside the church.The funeral started around noon with a choir singing to the packed room of mourners.
Houston’s biggest fans were able to mourn the singer by following the funeral live on the Internet, with the Associated Press streaming it on Live Stream.
Just after 12 p.m. Saturday more than 100,000 were viewing the live stream of the singer’s funeral.
The farewell to Houston comes just one week after she died in her hotel room at the Beverly Hilton Hotel. She was discovered underneath the water inside a bathtub. EMT’s pronounced her dead after they were unable to revive her.
Houston, who was 48 when she died last week, was scheduled to perform at Clive Davis’ pre-Grammy Awards party that night.
Her death also came one day before the Grammy’s, which is considered music’s biggest night. During the awards show, Hudson sang Houston’s “I Will Always Love You” in a moving tribute to the powerful singer.
Mourners were handed a program at the funeral, that included a letter published by Houston’s, mother, Cissy Houston, who wrote:
“I never told you that when you were born, the Holy Spirit told me that you would not be with me long. And I thank God for the beautiful flower he allowed me to raise and cherish for 48
[ Read More ]

Mjadala wa Wazi Matokeo ya Mtihani




Inshaallah Kesho Jumamosi asubuhi saa 2.30 katika ukumbi wa Beit Al Yamin Malindi kutakuwa na mjadala wa wazi wa wadau wote wa elimu kuhusu matokeo ya mtihani wa taifa kidato cha nne.

Mjadala huo utawashirikisha walimu wa skuli za serikali na binafsi, wazazi, wanafunzi na wadau wengine wa elimu karibuni katika mjadala huo ili kutoa maoni yenu katika mjadala huo.
Kwa wale watakaopenda kufuatilia tutakuwa tukirushwa moja kwa moja kupitia facebook ya Salma Said au mtandao wa www.zanzibaryetu.wordpress.com. Msikose kufuatilia kujua kinachozungumzwa katika mjadala huo muhimu.

Aidha Kesho hiyo hiyo jioni inshallah saa 4:30 eneo la Mapembeani Mwembe Tanga kutakuwa pia na mkutano wa kutoa elimu ya uraia kuhusu katiba, mkutano ambao umeandaliwa na baraza la Katiba Zanzibar

Mnaombwa kuhudhuria kwa wingi katika mkutano huo, vitabu vya KATIBA TUITAKAYO vitatolewa bure katika mkutano huo. watakaoongoza utoaji wa elimu ni pamoja na Professa Abdul Shareef, Awadh Said na Ally Saleh. Mnakaribishwa kuhudhuria kwa wingi na mnaombwa kwa kila atakayesikia tangazo hili amuarifu na mwenzake
[ Read More ]

R.I.P Whitney Houston.

 
Whitney Houston, who found fame as one of pop’s biggest voices, has died. She was 48.
Houston died Saturday afternoon, a representative for the singer told the Associated Press. Houston’s death comes on the eve of the Grammys and on the night of Clive Davis’ annual pre-Grammy gala, at which she performed last year and was expected to attend this year.
No cause of death has been announced and law enforcement sources said the singer was found in a hotel room at the Beverly Hilton, where emergency medical personnel were called sometime Saturday.

The Hilton is the scene for Davis’ annual gala. On Thursday, Houston dropped by the rehearsals to offer vocal tips for Brandy and Monica, who were slated to be one of the evening’s headliners.
Press, including The Times, were in attendance for a junket with the reunited R&B divas and Davis. Though Houston greeted people her with a warm smile, she appeared disheveled in mismatched clothes and hair that was dripping wet with either sweat or water.
The visibly bloated singer displayed erratic behavior throughout the afternoon -- flailing her hands frenetically as she spoke to Brandy and Monica, skipping around the ballroom in a child-like fashion and wandering aimlessly about the lobby. It was mentioned by a Grammy staffer that security personnel received calls of the singer doing handstands by the pool.
After leaving rehearsals, Houston returned to the ballroom -- with her teenage daughter Bobbi Kristina in tow -- as camera crews set up for interviews. The singer smelled of alcohol and cigarettes. A Grammy staffer said that during the interviews with Brandy, Monica and Clive, Houston was dancing just off camera to make the singers and Davis laugh. Grammy personnel expressed concern that she'd be caught on camera, and that reporters would write about her behavior.
Finally her daughter pulled Houston out of the room, and the singer skipped off. In our post of the event, we called Houston's behavior "loose and lively."
“She really loves and supports us both. For me, I went through a lot of very tumultuous moments and she would show up, not just with a phone call but physically when I needed,” Monica said when we asked about Houston coaching them. “That's something that I've carried with me, especially with all that she's been going through over the years herself. She's never turned her back on the people she cared about.”
Later that evening Houston appeared at Hollywood nightclub Tru, for fellow R&B singer Kelly Price’s pre-Grammy party. "Kelly Price & Friends Unplugged: For the Love of R&B" served as both a celebration and a jam session to preserve that genre, which was scaled back from eight categories to four this year.
Houston was billed as one of the evening’s special invited guests but after her appearance earlier it was shocking to see the singer arrive. More put together in her appearance, Houston briefly sang a duet with Price. In what has become her final performance, clips of the two singing a gospel hymn made the rounds because of the singer’s unsteady vocals.
SOURCE: Los Angeles Times
[ Read More ]

HATIMAE JAY-Z & BEYONCE WAMEWEKA PICHA ZA MTOTO WAO (BLUE IVY) KWENYE MITANDAO YA KIJAMII



                                   Mtoto Blue Ivy















                                Mtoto Blue Ivy.

                   Beyonce akiwa na Mwanae Blue Ivy


                     Jay-Z akiwa na mwanae  Blue Ivy

[ Read More ]

MANY CONGRATS.


Many  Congrats to  my Baby Sister Mariam Tawe  for great form 4 result ..beauty with purpose......Education is sexy.... i am so proud of you dear xoxo.....
[ Read More ]

DALILI ZA KUWA NA STRESS



Kuna mambo mengi au hali flani inaweza kuwa inajitokeza kwako mara kwa mara na usijue ni nini, au ukapuuzia lakini baadae ikaja kukuletea madhara makubwa. Ukiona mtu au kuhisi dalili zifuatazo, ujue ndio mwanzo wa stressKimbia ukapate msaada kabla mambo hayajaharibika 

1. Kutojiamini
 

2. Kujawa na mawazo mengi kichwani (Msongo wa mawazo)
3. Kuwazia mabaya wakati wote
4. Kuongea kwa sauti (Shouting)

5. Kula chakula au kunywa pombe kupindukia
6. Kushindwa kula (Kupoteza hamu ya chakula) 
7. Kushindwa kujichanganya na watu (Anti-Social)

8. Kusahau vitu mara kwa mara 
9. Kupata tabu ku concentrate katika mambo
 
10.Matatizo ya tumbo, mdomo kukauka, misuli kukaza na kutoka jasho mara kwa mara

11. Kuamka mapema 
12. Moyo kwenda mbio
 
13. Kusikia joto
 
14. Kichwa kuuma

YAFANYIE KAZI KABLA HUJACHELEWA

source jaydee.

[ Read More ]

Watoto 4750 Wanaishi Mazingira Magumu Wete



WATOTO 4750 kutoka shehia 22 za wilaya ya Wete wanaishi katika mazingira magumu mno, utafiti uliofanywa na kitengo cha hifadhi ya mtoto Pemba, umebainisha.

Afisa kutoka kitengo cha hifadhi ya mtoto Pemba, Raya Said aliliambia gazeti hili katika mahojiano maalum kwamba, watoto hao walibainika katika kaya zote zilizo ndani ya wilaya hiyo.


Alisema hao ni wale wanaoishi katika mazingira magumu mno, ambao hawana msaada wala usaidizi wowote, ambapo miongoni mwao wapo pia wanafunzi wa kike.

Shehia zilizoandikisha rekodi ya juu ni Kojani ambapo watoto 186 wakiwemo wanawake 83 wanaishi katika mazingira ya kusikitisha.

Shehia nyengine ni Kigongoni yenye watoto 386 wakiwemo wanawake 201, Mtambwe kaskazini watoto 281 wakiwemo wanaume 117, Pembeni watoto 121, Gando (126), Junguni (100) na Kisiwani watoto 115.

Raya alisema tatizo kubwa linalowakabili watoto hawa ni huduma muhimu za kijamii ikiwemo chakula cha uhakika, mavazi, malazi na matunzo kutoka kwa familia zao, hali iliyowafanya wengi kuishi katika maisha ya kukata tamaa.

Aidha alisema baadhi ya watoto hawana sare za skuli na wale walionazo zimechakaa mno.

Hali hiyo imewafanya watoto wengi kukatisha masomo na kujishughulisha na ajira mbadala ambazo ni hatari kwa afya zao.

Afisa huyo alisema baadhi ya familia zimekuwa zikiwatumia watoto hao kama mtaji; kwa kwenda kufanya kazi ili waendeshe familia zao ikiwemo kupara samaki.

Aliziomba asasi za kiraia za kitaifa na kimataifa kushirikiana na kitengo chake kusaidia kumkomboa mtoto na kumuweka katika mazingira bora kielimu na kiafya.
[ Read More ]