..
Web browser makers have rushed to fix a security lapse that cyber thieves abused to impersonate Google+
The loophole exploited ID credentials that browsers use to ensure a website is who it claims to be.
By using the fake credentials, criminals created a website that purported to be part of the Google+ social media network.
The fake ID credentials have been traced back to Turkish security firm TurkTrust which mistakenly issued them.
The fake ID credentials have been traced back to Turkish security firm TurkTrust which mistakenly issued them.
The lapse let cyber thieves trick people into thinking they were on Google+
An investigation by TurkTrust revealed that in August 2011 it twice accidentally issued the wrong type of security credential, a form of identification known as an intermediate certificate. Instead of issuing low level certificates it mistakenly gave out two "master keys" that are typically only given to owners of websites. This master key is a guarantee of a site's identity.
"These certificates could be used to impersonate any website to any browser without the end user being alerted that anything is wrong," wrote security analyst Chester Wisniewski from Sophos in a blogpost about the security lapse.
The certificates are important, he said, because secure use of web shops and other services revolve around interaction between the master keys and the lower level security credentials.
The lapse was spotted when automatic checks built in to Google's Chrome browser noticed the fake credentials.
Google, Microsoft and Firefox developer Mozilla have all issued updates which revoke the two wrongly issued master security certificates. In addition, Mozilla has updated Firefox to reject any certificate issued by TurkTrust while the browser maker investigates the security lapse.
This is not the first time that websites and browser makers have had a problem with security certificates. Fake certificates have been issued before now by several other firms and exposed confidential data including login names and passwords.
"It is really time we move on from this 20-year-old, poorly implemented system," wrote Mr Wisniewski. "It doesn't need to be perfect to beat what we have."
source bbc
Waombolezaji wa Msiba wa Msanii wa Filamu hapa nchini Marehemu Sadick Juma Kilowoko wakibeba jeneza lenye mwili wake tayari kwa taratibu za kwenda Mazikoni, wakitokea Nyumbani kwa Marehemu Tabata Bima.
Mwili wa Marehemu Sajuki ukipakiwa kwenye gari
Rais wa Shirikisho la Filamu Tanzania,Saimon Mwakifwamba akimpokea Mbunge wa Jimbo la Kigoma Kaskazini,Mh. Zitto Kabwe alipokuwa akiwasili msibani hapo
Pamoja na mvua kubwa kunyesha haikuzuia watu kufika kwa aajili ya kuomboleza kifo cha Marehemu sajuki
Waombolezaji wakiwa wanajifunika kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha jijini Dar
This is it! Hapa ndipo sajuki amelala! May his soul R.I.P
Inna Lillahi Wa Inna Ilayhi Raj'un

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt Ali Mohamed Shein amemteuwa Profesa Ali Seif Mshimba kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Viwango la Zanzibar(Zanzibar Bureau of Standards) katika Wizara ya Biashara Viwanda na Masoko Zanzibar.
Kwa mujibu wa Taarifa iliotolewa na Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Dkt. Abdulhamid Yahya Mzee imeeleza kuwa Rais amefanya uteuzi huo kwa uwezo aliopewa chini ya kifungu 8(2)(a) cha Sheria ya Viwango namba 1 ya mwaka 2011.
Uteuzi huo umeanza jana.
IMETOLEWA NA IDARA YA HABARI MAELEZO ZANZIBAR
3/1/2013
Na Maelezo Zanzibar
Sherehe za miaka 49 ya Mapinduzi ya Zanzibar zinaanza rasmi kesho kwa kazi za kufanya usafi wa mazingira katika Wilaya zote za Unguja na Pemba.
Kwa mujibu wa Ratiba iliyotolewa na Kamati ya Sherehe na maadhimisho ya kitaifa imeonesha kuwa Miradi ipatayo 62 inatarajiwa kuzinduliwa katika Visiwa vya Unguja na Pemba.
Kwa mujibu wa Ratiba iliyotolewa na Kamati ya Sherehe na maadhimisho ya kitaifa imeonesha kuwa Miradi ipatayo 62 inatarajiwa kuzinduliwa katika Visiwa vya Unguja na Pemba.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Kikwete atafungua Skuli mpya ya Sekondari ya Mlimani, iliyopo Matemwe Mkoa wa Kaskazini Unguja ikiwa ni Shamra shamra za Sherehe hizo.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Ali Mohamed Shein naye atazindua miradi mbalimbali ikiwemo Ufunguzi wa Jengo la Chuo cha Utawala wa Umma huko Tunguu Wilaya ya Kati Unguja.
Pia atafungua mradi wa E-Government katika Wilaya ya Magharibi Unguja na kufungua Skuli mpya ya Sekondari ya Umoja, iliyopo Uzini Wilaya ya Kati Unguja pamoja na kuzindua Barabara kutoka Mfenesini hadi Bumbwini Wilaya ya Kaskazini B Unguja.
Hali kadhalika Dkt.Shein atafungua Mradi wa kuhama kutoka Teknolojia ya Analojia kwenda Dijitali na Ufunguzi wa Studio ya kurikodia Sanaa na Muziki ambapo kwa upande wa Pemba atafungua Skuli mpya ya Sekondari ya Shamiani iliyopo Chake Chake Mkoa wa Kusini Pemba.
Mbali na Shughuli hizo siku ya kilele hapo January 12 kwenye Uwanja wa Amani Rais Shein atakagua Gwaride lililoandaliwa na Vikosi vya ulinzi na usalama na Vikosi vya SMZ pamoja na kulihutubia Taifa na Usiku kuhudhuria Taarab rasmi huko katika Ukumbi wa Salama Hoteli ya Bwawani
Naye Makamo wa Kwanza wa Rais Maalim Seif Shariff Hamad atafanya uzinduzi mbali mbali kwa ufunguzi wa Skuli na Maabara wakati Makamo wa Pili wa Rais Balozi Seif Idd atafanya Shughuli kama hizo kwa ufunguzi wa Skuli na Majengo mapya ya nyumba za Wazee zilizopo Sebleni Wilaya ya Mjini Unguja.
Mbali na shughuli hizo baadhi ya Marais wastaafu,Mawaziri mbali mbali wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar na Muungano watafanya shughuli za ufunguzi wa Miradi mingine ikiwemo ya Maji, Skuli na Mradi wa Mnara wa Radio wa Masafa ya Kati uliopo Bungi Wilaya ya Kati Unguja.

Habari zilizotufikia hivi punde zinasema msani wa sanaa hapa nchini anayefahamika kwa jina Juma Kilowoko jina la sanaa SAJUKI amefariki dunia leo alfajiri katika hospitali ya taifa muhimbili.Kwa mujibu wa Katibu wa chama cha waongoza Filamu Wilaya ya Ilala,Rajabu Amiri hivi karibuni Sajuki alikuwa anasumbuliwa na tatizo la upungufu wa damu. endelea kutufuatilia tutakuletea habari zaidi baadaye kidogo..
Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi amen.
source itv
BAADHI ya watumiaji wa simu za viganjani zenye televisheni ni miongoni mwa watu watakaoathirika na uzimaji wa mitambo ya utangazaji wa televisheni ya mfumo wa analojia.
Akizungumza na wandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo, wakati Mkurugenzi wa Mamlaka ya Mawasialiano nchini (TCRA), akitoa taarifa kuhusu uzimaji wa mitambo hiyo ya analoji kwenda dijitali, kwa mkoa wa Dar es Salaam, Injinia Endrew Kisaka alisema hali hiyo inatokana na simu hizo kuunganishwa na mfumo huo.
Alisema simu hizo zitakosa huduma hiyo ya matangazo hadi pale kampuni hizo za simu kwa shirikiana na malaka hiyo kuzindua mfumo utakaokwenda sambamba na dijitali hivi karibuni.
Injinia Kisaka, alisema uzinduzi huo unatarajiwa kufanyika haraka ili kuepusha usumbufu unaoweza kujitokeza kwa watumiaji wa simu hizo.
Akifafanua zaidi kuhusu changamoto kuhusu ving’amuzi, alisema endapo utatokea usumbufu wananchi wasisite kurudi sehemu waliko nunua king’muzi hicho kwa maelezo zaidi.
“Unajua kuna baadhi ya maeneo kama vile yenye majengo marefu na mabonde ambapo maeneo hayo hukosekana ‘signal’ sasa mkiona hivyo rudini kwa wauzaji wenu wawape ushauri wa kitaalamu utakaosaidia kupata matangazo hayo kwa ubora”alisema Kisaka.
Naye Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka hiyo, Prof. John Nkoma alisema serikali imejitahidi kuondoa kodi katika kuingiza ving’amuzi ambapo imesaidia kupunguza bei na kuwa sh 39,000 ambayo anaamini kila Mtanzania atamudu kukipata.
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imekuwa ikitoa elimu kwaumma kwa kiwango chakuridhisha,hivyo uhamaji hautakuwa na usumbufu kwa watumiaji wa huduma za utangazaji.
Pamoja na hayo, alieleza mabadiliko hayo hayatahusu
utangazaji kwa satelaiti, waya (cable) na redio.
NA FULLSHANGWEBLOG.COM DAR ES SALAAM
She was a student, 23 years old, Her fault some people say because she boarded the wrong bus, And oh yeah
SHE WAS A GIRL, Six men raped her one by one and then used an iron rod to tear her vagina-Small intestine and large intestine came out They left her to die on the road Naked! Wounded! Exposed! Devastated What’s more is that no one even turned to look at her No one even bothered to throw a shawl on the ill-clad ill-fated girl
She can never live a normal, married life again She Went into coma five times since 16th December She was unconscious Critical and hasn't been able to stop crying But don’t worry She wasn't your sister She wasn't your daughter But she could be. The brutality has to stop right here guys These people deserve capital punishment for
their cruel, Perverted act She died yesterday Saturday 29th December 2012 Rest in Peace♥ and I pray that her killers get the WORST punishment possible This doesn't only happen in India. But in every country around the
world, Is this how we treat our women? It Makes me ashamed to even live on this planet today.May your Soul Rest in Peace. Amin.
















