Tanzania iko tayari kuwachukua watu watakaopatikana na hatia ya makosa ya jinai kutumikia vifungo vyao nchini. Kwa mujibu wa taarifa ya Ikulu, Rais Jakaya Kikwete alisema hayo jana alipokutana na Rais wa Mahakama ya Kimataifa ya Makosa ya Jinai (ICC), Jaji Sang-Hyun Song. “Tunaweza kuchukua watakaopatikana na makosa kutumikia vifungo hapa Tanzania, tuko tayari kwa hilo,” Rais alimweleza Jaji
[ Read More ]