Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

Shambulio la bomu hotelini Pakistan

Takriban watu kumi na mmoja wameuawa na wengine zaidi ya sitini kujeruhiwa katika shambuli la bomu la kujitoa mhanga katika hoteli moja nchini Pakistan. Kwa mujibu wa maafisa waandamizi nchini humo, shambulio hilo lilitokea katika mji wa Peshawar kaskazini magharibi mwa nchi hiyo. Ripoti za vyombo vya habari nchini

[ Read More ]

Ghailani lands in New York

UNITED States authorities have announced that Ahmed Khalfan Ghailani, a Tanzanian national accused of involvement in the 1998 US embassy bombing in Dar es Salaam arrived early yesterday morning in New York to face criminal charges. Ghailani had been held at the notorious Guantanamo Bay detention facility in Cuba since September 2006. After a thorough review of his case, the Tanzanian was recently

[ Read More ]

Shahidi aeleza maiti ya albino alivyookotwa

KESI inayowakabili washitakiwa wa mauaji ya albino mkoani Shinyanga iliendelea kusikilizwa jana ambapo shahidi wa kwanza alianza kutoa ushahidi wake mbele ya Jaji Gadi Mjemas wa Mahakama Kuu ya Tanzania. Akitoa ushahidi huo huku akiongozwa na wakili wa Serikali Bi. Veritas Mlay shahidi huyo Bw. Mayenga Matongo ambaye alikuwa Afisa Mtendaji wa Kijiji cha Harawa alidai kuwa Desemba 4 mwaka juzi akiwa

[ Read More ]

Mama ajinyonga kwa wivu

MKAZI wa Kijiji cha Ukata katika kata ya Ukata wilayani Mbinga mkoa wa Ruvuma, Bi. Rehema Ndunguru (40) amejinyonga na kufa kwa kinachosadikiwa ni kutokana na mgogoro wa mapenzi. Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake jana, Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Ruvuma, Bw. Michael Kamuhanda amesema tukio hili lilitokea Juni 8, mwaka huu saa 3 asubuhi kijijini humo. Alisema, Bi. Ndunguru alikutwa

[ Read More ]

Mv Fatih yaundiwa tume

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imeunda tume ya watu 8 kuchunguza chanzo cha ajali ya Mv. Fatih ambayo ilisababisha vifo vya watu 6 pamoja na hasara ya mali. Akitangaza kuundwa kwa tume hiyo, Waziri wa Nchi, Wizara ya Mawasiliano na Uchukuzi, Bw. Machano Othman Said alisema tume hiyo imepewa kazi ya kujua chanzo cha ajali ya Mv FatihBw. Machano alisema tume hiyo imepewa muda wa mwezi mmoja

[ Read More ]