
Takriban watu kumi na mmoja wameuawa na wengine zaidi ya sitini kujeruhiwa katika shambuli la bomu la kujitoa mhanga katika hoteli moja nchini Pakistan. Kwa mujibu wa maafisa waandamizi nchini humo, shambulio hilo lilitokea katika mji wa Peshawar kaskazini magharibi mwa nchi hiyo. Ripoti za vyombo vya habari nchini