Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

Mahabusu wa Guantanamo awasili New York

Maafisa wa Marekani wameeleza mahabusu wa kwanza wa gereza la Guantanamo, atakayeshitakiwa katika mahakama ya kiraia ya Marekani amewasili New York. Ahmed Ghailani amepelekwa kukabiliana na mashtaka katika mahakama ya New York akihusishwa na uripuaji wa mabomu wa balozi za Marekani katika Afrika Mashariki. Bwana

[ Read More ]

Mahabusu Keko wagoma kula

KESI za mahabusu wa gereza la Keko, jijini Dar es Salaam, waliogoma kula kushinikiza kesi zao kusikilizwa, zitaanza kuunguruma Mahakama Kuu ya Tanzania, mwezi huu. Habari za kuaminika ambazo gazeti hili imezipata kutoka kwa maofisa wa Gereza hilo mwishoni mwa wiki, zilieleza kuwa tayari kesi hizo zimewekwa kwenye kalenda ya mahakama.Ufafanuzi huo ulitolewa na mmoja wa maofisa wa gereza hilo, aliyezungumza

[ Read More ]

Mtoto aunguzwa Dar kisa chakula!

Hali ya afya ya mtoto Comfort Kimaro, 7 wa Mbezi Saranga Jijini Dar bado haijatengemaa na anaendelea kuuguzwa katika Hospitali ya Tumbi wilayani Kibaha kutokana na majeraha mabaya ya moto yaliyotokana na kile kinachodaiwa kuwa ni kuunguzwa moto na mke wa baba yake mdogo.Taarifa zinadai kuwa mtoto huyo, aliunguzwa mwilini kwa mkasi wa moto na mke wa baba yake mdogo anayetajwa kwa jina la Domina Kimaro,

[ Read More ]

mbunge wa busanda akaribishwa bungeni

Mbunge wa Busanda, Lolesia Bukwimba (mbele kulia), akisindikizwa na wabunge wanawake wa Chama Cha Mapinduzi kuingia bungeni ili kula kiapo jana baada kushinda uchaguzi mdogo wa jimbo hilo uliofanyika Mei 24, mwaka huu.

[ Read More ]

Basi laua watano Dodoma

WATU watano wamekufa baada ya basi la abiria kupinduka leo saa tano asubuhi wakati likitoka Dar es Salaam kwenda mkoani Singida. Basi hilo liitwalo, Hajjiz, aina ya Scania lilipinduka baada ya tairi ya mbele kupasuka. Mkuu wa Upelelezi Mkoa wa Dodoma, Salum Msangi amesema, basi hilo lenye namba za usajili T 441 AYN lilipinduka saa 5.40 katika kijiji cha Mtumba, takribani kilomita 17 kutoka mjini

[ Read More ]