
Maafisa wa Marekani wameeleza mahabusu wa kwanza wa gereza la Guantanamo, atakayeshitakiwa katika mahakama ya kiraia ya Marekani amewasili New York. Ahmed Ghailani amepelekwa kukabiliana na mashtaka katika mahakama ya New York akihusishwa na uripuaji wa mabomu wa balozi za Marekani katika Afrika Mashariki. Bwana