Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

Mwanafunzi Mtanzania, Imran Mtui auawa India

Habari zilizopo katika blogu ya Watanzania waishio Bangalore (TASABA), pia katika mtandao wa Twitter zinathibitisha kuwa, mwanafunzi wa Kitanzania, Imran Mtui (31) aliyekuwa anasoma katika Chuo kishiriki Cha Chuo Kikuu cha Bangalore nchini India, amekutwa amekufa huku mwili wake ukiwa hauna kichwa.Taarifa zinasema kuwa mwili huo ulikutwa kando kando ya reli katika eneo la Shivajinagar katika mji

[ Read More ]

TANGAZO..

TAARIFA KAMILI YA KAMATI YA KUFUATILIA MSIBA WA KAKA YETU IMRAN MTUI CHINI RAIS WA TASABA NA MUWAKILISHI WA UBALOZI MR.AMON MWAMANENGE ITATOLEWA BAADAE USIKU HUU.TAARIFA ITAHUSISHA TAARIFA ZILIZOTOLEWA NA POLISI,HOSPITALI NA KAMPUNI YA RELI KUHUSU KIFO CHA KAKA YETU IMRAN MTUI.TUNAOMBA RADHI KWA KUCHELEWESHWA KWA TAARIFA KWANI TULIKUA HATUWEZI KUZUNGUMZA LOLOTE MPAKA TUPATE RIPOTI RASMI

[ Read More ]