Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

mama Lulu afunguka rasmi

[ Read More ]

TAHADHARI YATOLEWA.


Tahadhari yatolewa juu Tishio La Tsunami Bahari Ya Hindi Baada Ya Tetemeko La Ardhi Lenye Ukubwa Wa Magnitude 8.7 Chini Ya Bahari Kuitikisa Indonesia.
 Sea levels indicate a Tsunami was been generated. It is estimated to reach the Kenyan Coastline of Mombasa at 17:06 hrs, and the Tanzanian Coastlines of Lindi at 17:07hrs, & Dar es Salaam at 17:10hrs
[ Read More ]

LULU APANDISHWA KIZIMBANI, APELEKWA SEGEREA



Msanii maarufu wa filamu hapa nchini, Elizabeth Michael ‘Lulu’ leo amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi, Kisutu jijini Dar es Salaam na kusomewa shitaka la mauaji. 
Lulu alipandishwa kizimbani kwa usiri mkubwa akitokea Kituo cha Polisi cha Oysterbay alikokuwa akishikiliwa na kupandishwa kizimbani moja kwa moja bila kuwekwa mahabusu ya mahakama hiyo kama iwavyo kwa washitakiwa wengine wanaosubiri kusomewa kesi zao.
Baada ya kupandishwa kizambani alisomewa shitaka lake na Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Mahakama hiyo, Elizabeth Kaganda ambapo alisema Mnamo Aprili 7 mwaka huu majira ya saa saba za usiku maeneo ya Sinza Vatican jijini Dar es Salaam Elizabeth Michael (18) alimuua Steven Kanumba. Katika kesi hiyo mshitakiwa hakutakiwa kujibu lolote isipokuwa alinyoosha kidole na kupinga umri uliotajwa kuwa ana miaka 18 na kusema umri wake ni miaka 17. Baada ya kusomewa shitaka hilo, Lulu alipelekwa gerezani Segerea na kesi yake itasikilizwa tena aprili 23 mwaka huu.

source.GPL
[ Read More ]

Massive 8.9 earthquake hits Indonesia, tsunami warning issued



The US Geological Survey said Wednesday the quake was centered 20 miles beneath the ocean floor around 308 miles from the provincial capital of Banda Aceh.
Said, an official at Indonesia's Meteorology and Geophysics Agency who goes by only one name, said a tsunami warning has been issued.
Indonesia straddles a series of fault lines that makes the vast island nation prone to volcanic and seismic activity.
A giant 9.1-magnitude quake off the country on December 26, 2004, triggered a tsunami in the Indian Ocean that killed 230,000 people, nearly three quarter of them in Aceh.
Source: AP
[ Read More ]