Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

JK Amwapisha Jaji Mkuu Mpya Leo







Rais Dr.Jakaya Mrisho Kikwete leo amemwapisha Jaji Mohamed Chande Othman kuwa Jaji Mkuu katika hafla iliyofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam leo asubuhi.Pichani Jaji Mohamed Chande Othman akila kiapo mbele ya Rais huku Jaji Mkuu mstaafu Augostino Ramadhani(kulia) akishuhudia.Katikati ni Kaibu Mkuu Kiongozi Philemon Luhanjo(Picha: Freddy Maro)
[ Read More ]