Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

Wema sepetu hoi

ni baada ya kuzidiwa na kuzimia akiwa makaburini,amekimbikimbizwa hospitali

[ Read More ]

hali ya hatari yatanda

Kuna uwezekano mkubwa ya baadhi ya watu kupoteza maisha katika msiba huu kutokana na watu kukanyagana! Japo hakuna taarifa kamili!!na huku baadhi ya watu wakiimba nyimbo uku wakikimbia haya ni baadhi ya maneno... "polisi tunamtaka lulu huyo aliy

[ Read More ]

Imeshindikana kabisa kwa jeneza kuingizwa makaburini Kinondoni.Kamati iko busy kuangalia nini cha kufanya na jeff msangi.twitt

[ Read More ]

BREAKING NEWS::

Mkuu wa majeshi 1988 hadi 1994 General Ernest mwita kyaro afariki dunia.akiwa njiani kuelekea bugan

[ Read More ]

HALI ILIVYO KATIKA VIWANJA VYA LEADERS.

 Msalaba Mwekundu wakiwa stand by na pia msaada unahitajika Watu wameisha anza kuzima na msalaba mwekundu umeanza kazi yao Watu wengi wanazidiwa na kuzimia.Jamaa wa Red Cross wanajitahidi kadiri wanavyoweza.They are doing an amazing job Ni majonzi   Mgeni Rasmi Mama Salma alipowasili msibani na waombolezaji wengine  Mbunge wa Mbeya Mjini Mh. Joseph Mbiliyini

[ Read More ]

LIVE UPDATES KUTOKA LEADERS KWENYE MSIBA WA KANUMBA.

mama wa marehemu akiwasili uwanjani hapo eneza lililobeba mwili wa Marehemu limewasili.Watu wanalia kwa uchungu sana.Wengi wanagombania kuligusa Kwa mbele red cross wakiwa uwanjani hapo kutoa hudu

[ Read More ]

MADAKTARI WAELEZA KILICHOMUUA KANUMBA

Msanii nyota wa filamu nchini, Steven Kanumba amefariki kutokana na tatizo la mtikisiko wa ubongo linalojulikana kitaalamu kama BRAIN CONCUSSION, taarifa za kitabibu zimeeleza. Taarifa hizo za ndani, zimepatikana jana baada ya jopo la madaktari bingwa watano wa hospitali ya taifa Muhimbili kuufanyia uchunguzi mwili wa marehem, zimeeleza kuwa tatizo hilo linaweza kumfanya mtu apoteze maisha mara

[ Read More ]