Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

Mnyika aongoza maandamano kuvamia Dawasco


     MBUNGE wa Jimbo la Ubungo John Mnyika [Chadema] ameongoza maandamano akwia na wapiga kura wake hadi kuvamia Ofisi za Kampuni inayosambaza maji katika Jiji la Dar es Salaam [Daweasco] kutaka kujua hatma ya matatizo ya maji katika jimbo hilo,
Jana Mnyika akwia na wapiga kura hao walivamia ofisi wananchi hao ili kujua ni kwa nini kampuni hiyo kutowapa majibu kuhusu malalamiko ya kukosa huduma hiyo kwa muda mrefu
Katika kero zilizowafikisha hapo ikiwemo kukosa maji kwa muda mrefu, ma mabomba yaliyowekwa na wachina kutosambaza maji hali inayowashangaza wakazi hao.

habari na nifahamishe
[ Read More ]