Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

Mwili wa kichanga waokotwa jalalani

Mwili wa mtoto mchanga wa umri wa miezi miwili umeokotwa ukiwa kwenye dampo la taka pale Mwananyamala Jijini. Kamanda wa Mkoa wa Kipolisi Kinondoni, Mark Kalunguyeye, amesema tukio hilo limejiri majira ya saa 4:00 asubuhi pale Mwananyamala Kwa Msisiri Jijini. Akasema baada ya kupata taarifa kutoka kwa wasamaria wema, polisi walifika eneo hilo na kuukuta mwili huo ukiwa umefungwa kwenye taulo na

[ Read More ]

Mwamuziki maarufu wa taarab Nasma Hamis 'Kidogo' afariki.

FANI ya muziki wa taarabu nchini imepata pigo kubwa baada ya kumpoteza mtunzi na mwimbaji mahiri, Nasma Khamis, maarufu 'Kidogo'. Nasma, 57, ambaye anakumbukwa kwa baadhi ya nyimbo zikiwamo, Mtu Mzima Ovyo alifariki usiku wa kuamkia jana jijini Dar es Salaam. "Hebu tueleze una kitu gani ee cha kututambiaa, ebu tuambie una kitu gani ee cha kuturingiaa, tema mate chini nyuma hujioni ee wanakukimbia,

[ Read More ]