Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

Teddy Kalonga,Azindua Lotion Yake ya 'My Lotion"

 Ngozi Nyororo inayowaka muda mfupi baada ya kupaka My Lotuion ya Teddy Kalonga
 Sample za Lotuon za Teddy Kalonga
 Supamodo wa Kimataifa Teddy Kalonga akiwa katika pozi
Supamodo wa Kimataifa Teddy Kalonga akiwa katika picha ya pamoja na Mume wake.....
--------------
A few months ago, fellow blogger Teddy Kalonga aka TK of Total Knockout Blog launched a body lotion called My Lotion.  According to the site, My Lotion is full of natural ingredients and comes in two scents; Lime and Vanilla. The lotion  is incredibly moisturizing and guarantees you a healthy, radiant complexion, and  will make your skin feel luxurious all the time.

Kununua Teddy Kalonga 'My Lotion' Online Nenda

www.mylotionbytk.blogspot.com
[ Read More ]

Ajifungua Salama Watoto Wa Tano

Tumpongeze Bi.Shija Maige (33)mkazi wa Kahama Mkoani Shinyanga kwa kujifungua salama watoto watano.Yeye na wanawe wako na afya tele.
[ Read More ]

Mama Salma Kikwete Awakarimu Wake Wa Mabalozi Ikulu Jijini Dar es Salaam

 Mke wa Rais Jakaya Kikwete, Mama Salama Kikwete (kushoto) akibusiana na Mke wa Rais wa Awamu ya Tatu, Benjamini Mkapa, Mama Anna Mkapa wakati wa hafla ya Wenza wa mabalozi na wawakilishi wa Taasisi za Kimataifa ya kuukaribisha Mwaka Mpya wa 2011 Ikulu, Dar es Salaam jana jioni.
 Mama Salma akifurahia jambo na Mke wa Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, Mama Tunu Pinda (wa pili kulia) pamoja na wake wa Makamu wa Rais Dk Bilali, Zakia (kulia) na Asha.
 Mama Salma akiagana na wenza wa mabalozi baada hafla hiyo kumalizika kwmeye viwanja vya ikulu jijini Dar es Salaam Jana
  Mama Salma akijadiliana jambo na Mwakilishi wa UNFPA nchini, Dk. Julitta Onabanjo wakati wa hafla hiyo.
 Mama Salma Kikwete akisalimiana na Mkurugenzi wa Vodacom Foundation, Mwanvita Makamba ambaye alikuwa miongoni mwa wageni waalikwa kwenye hafla hiyo.
 Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na wenza wa mabalozi wakati wa sherehe ya mwaka mpya(Sherry Party) iliyofanyika katika viwanja vya Ikulu jijini Dar es Salaam jana jioni
[ Read More ]