Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

Serikali ya Zanzibar yazuia waandishi kuingia bandarini

BAADA ya waandishi wa habari kupinga kunyanyaswa na askari wa vikosi vya serikali ya mapinduzi wakati wa ziara ya Rais Amani Abeid Karume juzi, Idara ya Habari ya serikali hiyo, jana ilizuia waandihi wa habari wa vyombo mbalimbali kuingia bandarini. Miongoni mwa waandishi waliozuiwa ni wa vyombo vya habari binafsi pamoja na vya serikali ya Jamhuri ya Muungano, likiwepo Shirika la Utangazaji Tanzania

[ Read More ]

Mabomu yadhibitiwa, 17 hoi kwa mshtuko

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), jana lililipua mabomu 11 yaliyokuwa katika kambi yake iliyopo Mbagala Kuu ambapo wakazi 17 wa Mbagala walikumbwa na mshtuko na baadhi yao akiwamo mjamzito wa miezi tisa, walizimia na kupelekwa hospitalini.Awali mamia ya wakazi wa eneo hilo lililopo wilayani Temeke mkoani Dar es Salaam, waliamua kuyahama maeneo yao pamoja na kuwapo taarifa kuwa

[ Read More ]

Mgombea wa urais auawa Guinea Bissau

Taarifa kutoka kwa wizara ya mambo ya ndani inasema Bwana Dabo na wenzake watatu walikuwa wakipanga kuipindua Serikali na kuwa walikuwa wamekataa kutiwa nguvuni wakati walipouawa. Hata hivyo mlinzi wa mwanasiasa huyo amesema Bwana Dabo alikuwa amelala na mke wake nyumbani kwake wakati watu waliokuwa na sare za kijeshi walipomfumania na kumuua.

[ Read More ]

Watoto wanne Dar watiwa mbaroni

Jeshi la Polisi Jijini limewatia nguvuni watoto wanne wakituhumiwa kujihusisha na biashara ya madawa ya kulevya. Kukamatwa kwa watoto hao ni muendelezo wa msako unaendelea kwa ajili ya kukabiliana na watu wanaofanya vitendo vya kihalifu katika maeneo mbalimbali ya Jiji. Akiongea na gazeti hili, Kamanda wa Mkoa wa Kipolisi wa Ilala, Faustine Shilogile amesema watoto hao ni mingoni mwa watu 12 waliokamatwa

[ Read More ]

Vatican fires bishop of Same

The Vatican has removed from office Bishop Jakob Koda of Same Catholic Diocese in Kilimanjaro region for alleged violation of church moral teachings.The Vatican Apostolic Nuncio to Tanzania Archbishop Joseph Chennoth told the 'Daily News' in Dar es Salaam yesterday that Bishop Koda has now been ‘advised to take time for rest, reflection and personal study.’Following Bishop Koda’s removal, Archbishop

[ Read More ]

ATAPELI MILIONI 5/- AKIDAI ANAWEZA KUMFUFUA MTOTO

MGANGA wa Kienyeji, Jongo Salum, maarufu kwa jina la Dk. Manyaunyau, amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala, Dar es Salaam kwa tuhuma za kujipatia sh milioni 5 kwa njia ya udanganyifu, kwamba angeweza kumfufua mtoto aliyefariki dunia. Mwendesha Mashitaka Mkuu wa mahakama hiyo, Naima Mwingi, alidai kuwa Dk. Manyaunyau (29), alijipatia kiasi hicho cha pesa kutoka kwa Zufa Abubakari,

[ Read More ]

MABOMU ZAIDI LEO,MBAGALA WALILIA CHAKULA.

Wakati mchakato wa kukamilisha ripoti ya fidia kwa wananchi walioathirika kwa milipuko ya mabomu katika eneo la Mbagala, Dar es Salaam ikiendelea kufanyiwa kazi, baadhi ya wakazi hao jana ‘walivamia’ ofisi za kata wakidai kutopatiwa msaada wa chakula kama inavyostahili. Wakazi hao walikusanyika kwa wingi katika ofisi hizo, kuanzia majira ya saa 2:00 asubuhi huku miongoni mwao wakiwa wanawake

[ Read More ]

KESI ZA ALBINO KUANZA J'TATU

Mahakama Kuu ya Tanzania inatarajia kuanza kusikiliza kesi tano za mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi ‘albino’ katika miji ya Wilaya za Kahama na Shinyanga mkoani Shinyanga kuanzia Jumatatu. Kwa mujibu wa Naibu Msajili Mwandamizi wa Mahakama Kuu, John Utamwa, kesi tatu zitasikilizwa mjini Kahama na Jaji Gabriel Rwakibarila kutoka Mahakama Kuu Kanda ya Mwanza na zimepangwa kusikilizwa kwa muda

[ Read More ]