Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

MAMA KANUMBA KAFIKA DAR NA RATIBA YA MAZISHI RASMI

WAKATI MAOMBOLEZO YA MSIBA YAKIENDELEA VIONGOZI MBALIMBALI WAKIFIKA KUTOA MKONO WAPOLE  AMBAPO LEO MHESHIMIWA PREZIDAR J.K ALIFIKA NYUMBANI KWA KANUMBA KUTOA MKONO WA POLE, NA KESHO ASUBUHU WAZIRI MKUU MHESHIMIWA PINDA ANATARAJIWA KUFIKA  KUTOA MKONO WA POLE KABLA YA KUELEKEA MKOANI DODOMA KWA AJILI YA BUNGE LINALOANZA JUMANNE    RATIBA YA MAZISHI IMETOLEWA RASMI AMBAPO

[ Read More ]

News alert:

Habari za muda huu zinaeleza kuwa Jeshi la Polisi limeanza kumhoji 'mtoto' anayeshukiwa kuwa chanzo cha Steven Kanumba (The Great), Elizabeth Michael, maarufu kwa jina la kisanii, Lulu, amekanusha kumsukuma msanii huyo nguli hadi kufa. Amesema kamwe hakufanya hivyo, pamoja na kwamba walikuwa wamekwaruzana kwa muda mfupi na akaenda kuoga, akiwa anatoka bafuni alianguka (aliteleza) na kugonga

[ Read More ]

HABARI NA ITV:Mazishi ya marehemu Steven Kanumba

[ Read More ]

Niliyokumbana nayo fb..kifo hakitaki utani jamani.

[ Read More ]

RAIS KIKWETE AKIWA NYUMBANI KWA MAREHEMU STEVEN KANUMBA KUTOA POLE KWA WAFIWA...!!!

   Rais Kikwete akiweka saini katika kitbu cha maombolezo leo alipofika nyumbani kwa Marehemu Steven Kanumba maeneo ya Sinza 'Vatican' kutoa pole na rambirambi. Rais ameto ubani wa shilingi milioni 10 kwa kifo hicho ambacho kimetingisha tasnia ya filamu ndani n nje ya nchi Rais Kikwete akiongea na wanakamati wa kamati ya msiba wa Steve Kanumba   Rais Kikwete

[ Read More ]

HABARI ZILIZOTANDA LEO MAGAZETINI JUMAPILI APR 8 NA Millard ayo.

   

[ Read More ]

Kanumba (kauli yake ya mwisho) HD

[ Read More ]

HITMA YA MAREHEMU MZEE ABEID KARUME ZANZIBAR

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Ali Mohamed Shein,akiweka Shada la mauwa katika kaburi la Muasisi wa Mapinduzi ya Zanzibar Mzee Abeid Amani Karume leo viwanja vya CCM Kisiwandui mjini Unguja. Viongozi wa Kitaifa wakimuombea dua Rais wa kwanza wa Zanzibar Marehemu Mzee Abeid Amani Karume,katika kaburi alipozikwa kiongozi huyo huko Viwanja

[ Read More ]

ALICHOSEMA MAMA MZAZI WA KANUMBA KUHUSU MAZIKO NA WATU WALIOSAMBAZA HABARI ZA UONGO.

[ Read More ]