Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

MAMA KANUMBA KAFIKA DAR NA RATIBA YA MAZISHI RASMI



WAKATI MAOMBOLEZO YA MSIBA YAKIENDELEA VIONGOZI MBALIMBALI WAKIFIKA KUTOA MKONO WAPOLE  AMBAPO LEO MHESHIMIWA PREZIDAR J.K ALIFIKA NYUMBANI KWA KANUMBA KUTOA MKONO WA POLE, NA KESHO ASUBUHU WAZIRI MKUU MHESHIMIWA PINDA ANATARAJIWA KUFIKA  KUTOA MKONO WA POLE KABLA YA KUELEKEA MKOANI DODOMA KWA AJILI YA BUNGE LINALOANZA JUMANNE

 
 RATIBA YA MAZISHI IMETOLEWA RASMI AMBAPO MAZISHI YAMEPANGWA KUFANYIKA SIKU YA JUMANNE KAMA ILIVYOKUWA IMEPANGWA, MAREHEMU ATAAGWA KATIKA VIWANJA VYA LEADERS CLUB AMBAPO KUANZIA SAA 4 SHUGHULI ZA MISA NA KUAGA MWILI ZITAANZA NA KISHA MAREHEMU ATAZIKWA KATIKA MAKABURI YA KINONDONI JIJINI.
R.I.P KANUMBA

 

 
 MAMA MZAZI WA MAREHEMU AMESHAFIKA JIJINI  NA AMETOA BARAKA ZOTE ZA MAZISHI YAFANYIKE HAPAHAPA JIJINI
 MSALABA MWEKUNDU WAPO NA KAZI YAO INAONEKANA KWANI WATU WANAZIMIA MARA KWA MARA NAO WANAONEKANA KUFANYA KAZI YAO KWA USTADI


                                  sisi tulimpenda bali mungu kampenda zaidi
              MISA ZINAENDELEA HAPO HAPO NYUMBANI KWA MAREHEMU,HILI NI KUNDI LA WANAKWAYA WA KANISA ALILOKUWA ANASALI KANUMBA
KAMA KAWAIDA MASHABIKI WA KANUMBA WAKO NJE WAKIFUATILIA MSIBA WA KIPENZI CHAO

source 8020..
[ Read More ]

News alert:



Habari za muda huu zinaeleza kuwa Jeshi la Polisi limeanza kumhoji 'mtoto' anayeshukiwa kuwa chanzo cha Steven Kanumba (The Great), Elizabeth Michael, maarufu kwa jina la kisanii, Lulu, amekanusha kumsukuma msanii huyo nguli hadi kufa.
 Amesema kamwe hakufanya hivyo, pamoja na kwamba walikuwa wamekwaruzana kwa muda mfupi na akaenda kuoga, akiwa anatoka bafuni alianguka (aliteleza) na kugonga kichwa kabla ya kukutwa na umauti.
 Binti huyo ameiambia Polisi kwamba Kanumba (ambaye wamekuwa na uhusiano naye wa mapenzi kwa muda sasa) alikuwa 'amebugia' ujazo mkubwa wa pombe kali aina ya Jackie Daniels (JD).
 TAJOA itaendelea kuujuza umma juu ya kila kinachoendelea juu ya mkasa huu unaoonekana kuvuta hisia za Watanzania wengi na hata wale walio nje ya nchi.

chanzo TAJOA.
[ Read More ]

HABARI NA ITV:Mazishi ya marehemu Steven Kanumba

[ Read More ]

Niliyokumbana nayo fb..kifo hakitaki utani jamani.

[ Read More ]

RAIS KIKWETE AKIWA NYUMBANI KWA MAREHEMU STEVEN KANUMBA KUTOA POLE KWA WAFIWA...!!!

 

 Rais Kikwete akiweka saini katika kitbu cha maombolezo leo alipofika nyumbani kwa Marehemu Steven Kanumba maeneo ya Sinza 'Vatican' kutoa pole na rambirambi. Rais ameto ubani wa shilingi milioni 10 kwa kifo hicho ambacho kimetingisha tasnia ya filamu ndani n nje ya nchi Rais Kikwete akiongea na wanakamati wa kamati ya msiba wa Steve Kanumba 
 Rais Kikwete akiwa nyumbani kwa marehemu mapema leo alipo enda kuhani msiba
  Rais Kikwete akitoa pole kwa dada wa marehemu Steve Kanumba na chini akiwafariji
   Rais Kikwete akiongea na wafiwa
  Rais Kikwete akimpa pole mdogo wake marehemu Steven Kanumba
Rais Kikwete akisalimiana na Dokta Sheni huku Millen Magesse na wasanii wengine wakiangalia
 Rais Kikwete akiwapa mkono wa pole wasanii wa tasnia ya filamu Tanzania

Picha kwa hisani ya Michuzi Blog
[ Read More ]

HABARI ZILIZOTANDA LEO MAGAZETINI JUMAPILI APR 8 NA Millard ayo.

 



 









[ Read More ]

Kanumba (kauli yake ya mwisho) HD

[ Read More ]

HITMA YA MAREHEMU MZEE ABEID KARUME ZANZIBAR

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Ali Mohamed Shein,akiweka Shada la mauwa katika kaburi la Muasisi wa Mapinduzi ya Zanzibar Mzee Abeid Amani Karume leo viwanja vya CCM Kisiwandui mjini Unguja.
Viongozi wa Kitaifa wakimuombea dua Rais wa kwanza wa Zanzibar Marehemu Mzee Abeid Amani Karume,katika kaburi alipozikwa kiongozi huyo huko Viwanja vya CCM KIsiwandui Mjini Zanzibar leo.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Ali Mohamed Shein,(katikati) Rais wa mstaafu wa Tanzania Mzee Ali Hassan Mwinyi,(wa pili kushoto) akimuakilisha, Dk. Jakaya Mrisho Kikwete,Kadhi Mkuu wa Zanzibar Sheikh Khamis Haji,na Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Omar Qaabi,pamoja na viongozi wengine wakisoma hitma ya kumuombea dua Muasisi wa Mapinduzi,na Rais wa Kwanza wa Zanzibar Abeid Amani Karume,Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Mjini Zanzibar.
Baadhi ya Mabalozi na Wananchi waliohudhuria katika kisomo cha dua ya kumuombea marehemu Rais wa Kwanza wa Zanzibar Mzee Abeid Amani Karume,huko Ukumbi wa CCM Kisiwandui Mjini Zanzibar leo.
Mke wa Muasisi wa Mapinduzi na Rais wa kwanza wa Zanzibar,Mama Fatma Karume,(wa nne kushoto) pamoja na wake wa Viongozi mbali mbali wakiwa katika hitma ya kumuombea dua Marehemu Mzee Abeid Amani Karume,huko Ukumbi wa CCM Kisiwandui Mjini Zanzibar leo.
Baadhi ya Akina mama wa Mitaa mbali mbali ya Unguja,wakimuombea Dua marehemu Mzee Abeid Amani Karume,huko Ukumbi wa CCM Kisiwandui Mjini Zanzibar leo.
Mke wa Muasisi wa Mapinduzi na Rais wa kwanza wa Zanzibar,Mama Fatma Karume,(kushoto) pamoja na wake wa Viongozi mbali mbali, wakiomba dua katika kaburi la Marehemu Mzee Abeid Amani Karume,huko viwanja vya CCM Kisiwandui Mjini Zanzibar leo.
[ Read More ]

ALICHOSEMA MAMA MZAZI WA KANUMBA KUHUSU MAZIKO NA WATU WALIOSAMBAZA HABARI ZA UONGO.

[ Read More ]