
Kama tunavyosema kila siku, hakuna kitu kibaya kama mgonjwa kutokujua aina ya vyakula anavyopaswa kula na kuviepuka. kwa sababu bila kuwa na uelewa huo, uwezekano wa mgonjwa huyo kupata ahueni katika ugonjwa unaomsumbua, utakuwa mdogo sana. Pumu ni miongoni mwa magonjwa yanayowasumbua watu wengi duniani, Tanzania ikiwemo. Ni ugonjwa ambao hauna tiba ya kuponya kabisa