Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

PUMU HAIPATANI NA VYAKULA VYA MAFUTA

Kama tunavyosema kila siku, hakuna kitu kibaya kama mgonjwa kutokujua aina ya vyakula anavyopaswa kula na kuviepuka. kwa sababu bila kuwa na uelewa huo, uwezekano wa mgonjwa huyo kupata ahueni katika ugonjwa unaomsumbua, utakuwa mdogo sana. Pumu ni miongoni mwa magonjwa yanayowasumbua watu wengi duniani, Tanzania ikiwemo. Ni ugonjwa ambao hauna tiba ya kuponya kabisa

[ Read More ]

Mtandao Wa Mobile Monday Wazinduliwa Rasmi Jijini Dar

Muanzilishi wa mtandao Mobile Monday (MoMo) unaojihusisha na maswala ya kukutanisha wataalam wa mambo ya habari na teknolojia ya mawasiliano (ICT) Duniani,Jari Tammisto akizungumza katika uzinduzi wa mtandao huo kwa hapa nchini uliofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita katika ukumbi wa Taasisi ya Sayansi na Teknolojia,Kijitonyama jijini Dar.Mmoja wa waanzilishi wasimamizi wa mtandao wa Mobile Monday

[ Read More ]

Dk. Bilal Aingia Mzigoni Leo

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dk. Mohamed Gharib Bilal, akiwa katika Ofisi yake Ikulu Dar es salaam leo ikiwa ni siku ya kwanza tangu kuapishwa kuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dk. Mohamed Gharib Bilal, akizungumza na watendaji wa Ofisi ya Makamu wa Rais wakati alipotembelea katika Ofisi hiyo iliyopo

[ Read More ]