WATU sita wamekufa papo hapo wakati gari walilokuwa wakisafiria lilipopata ajali likikwepa mbwa katika eneo la katikati ya Kijiji cha Paje na Jambiani katika Mkoa wa Kusini Unguja. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kusini Unguja, Augustino Olomy alithibitisha kutokea kwa ajali hiyo na kuongeza kuwa dereva wa gari hilo, Said Hemed Salim pia alikufa. Wengine waliokufa ni Abdalla Maliki Jaffari (20), Haji Hassan
[ Read More ]