Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

Makaazi ya Kanali Gaddafi yashambuliwa

Ndege zake za kijeshi, zimeshambulia makaazi ya Kanali Gaddafi mjini Tripoli na kusababisha uharibifu mkubwa kwenye jengo moja.
Viongozi wa muugano wa majeshi hayo wanasema jengo lililoharibiwa lilikuwa linatumika kuamrisha majeshi ya Libya yanayopigana na waasi.
Waandishi wa habari wametembezwa kwenye eneo hilo lakini hakuna taarifa ikiwa maafa yalitokea baada ya shambulizi hilo.
Naibu mkuu wa jeshi la wanamaji wa marekani Bill Gortney anasema mashubulizi hayo hayaja mlenga kanali Gaddafi.
vifaru vya serikali vinateketea
Televisheni ya Libya imeonesha maiti na magari ya kijeshi yaliyoteketea kwenye barabara ya kuelekea mji wa Benghazi, shina la wapinzani wa serikali
Msemaji wa serikali ameeleza kuwa watu 64 wameuwawa katika mashambulio yaliyofanywa na mataifa ya magharibi, lakini hakuna njia ya kuthibitisha taarifa hiyo.
Awali afisa mkuu wa jeshi la Marekani, , Mike Mullen, alisema ndege kutoka Qatar zinapelekwa huko, kuwa tayari kushiriki katika operesheni dhidi ya Libya, na nchi nyengine piya zimetoa ahadi kusaidia.
Adimeri Mullen alieleza kuwa agizo la Umoja wa Mataifa, la kuzuwia ndege za serikali kuruka katika anga ya Libya, sasa limetekelezwa, na majeshi ya Kanali Gaddafi, katika mji wa Benghazi, unaodhibitiwa na wapinzani, sasa hayawezi kusonga mbele.
Alisema hakuona taarifa, kuwa raia wameuwawa.
mpinzani na bunduki yake karibu na Benghazi
mpinzani na bunduki yake karibu na Benghazi
Urusi imetoa wito kwa Uingereza, Ufaransa na Marekani, ziache kushambulia maeneo yasiyokuwa ya kijeshi, na kwamba raia wameshambuliwa.
Mkuu wa Jumuiya ya Kiarabu, Amr Moussa, amesema mashambulio yamekwenda mbali, kushinda lile lengo la kulinda tu anga ya Libya, ambavyo ndivo jumuiya yake ilivotaka.
[ Read More ]

Uzinduzi Rasmi wa Flaviana Matata Foundation ni May 21st, 2011

 May 21st is always a special and very difficult day for me, my family and the families of thousands who lost their loved ones on that fateful day in 1996, when MV Bukoba sank in Lake Victoria. On that day I lost my mother, but never lost hope. I knew a day would come and will be able to cherish her memory and do something special to honor her life and the life she game me.

I am happy to announce that on May 21st, 2011 I will officially launch the FLAVIANA MATATA FOUNDATION in the honor of my beloved mother. As a former Miss Universe Tanzania, and currently, a model based in New York and Europe, I would like to use my fame to help the most vulnerable in our society… young women and kids.

 FLAVIANA MATATA FOUNDATION, a Tanzanian registered nonprofit organization, will give leaders in health, business, government and communities globally the opportunity to be a part of a movement that relies on participation, collaboration and action to reverse child pregnancy rates, and empowering of young women and kids and the like. I consider this to be my greatest achievement, and gives me joy to see that my mother’s memory has a chance to live forever. I hope this initiative will bring happiness and joy to many that will be touched directly and indirectly by FLAVIANA MATATA FOUNDATION. Please reserve this date (May 21st, 2011) to come and join me in the launch of this very important initiative. Venue, time, and special guests will be announced at a later stage.THANK YOU


Regards


Flaviana Matata(Lavvy)
[ Read More ]

Mama Mwanamwema Shein Akutana na Wake za Mambozi wa Afrika Ikulu Zanzibar

 Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein (Kulia)akizungumza na Mwenyekiti wa jumuiya ya wake za mabalozi wa afrika waliopo Tanzania Bi Aletha Isack Ikulu Mjini Zanzibar Jana

 Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein akizungumza na wake za mabalozi ambao ni wanachama wa chama cha wake za Mabalozi Afrika.

 Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein akonyesha jambo kwa wake za Mabalozi wa afrika ikulu mjini zanzibar jana.
Picha na Yussuf Simai-MAELEZO,Zanzibar
[ Read More ]