Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

Makaazi ya Kanali Gaddafi yashambuliwa

Ndege zake za kijeshi, zimeshambulia makaazi ya Kanali Gaddafi mjini Tripoli na kusababisha uharibifu mkubwa kwenye jengo moja.Viongozi wa muugano wa majeshi hayo wanasema jengo lililoharibiwa lilikuwa linatumika kuamrisha majeshi ya Libya yanayopigana na waasi.Waandishi wa habari wametembezwa kwenye eneo hilo lakini hakuna taarifa ikiwa maafa yalitokea baada ya shambulizi hilo.Naibu mkuu wa jeshi

[ Read More ]

Uzinduzi Rasmi wa Flaviana Matata Foundation ni May 21st, 2011

 May 21st is always a special and very difficult day for me, my family and the families of thousands who lost their loved ones on that fateful day in 1996, when MV Bukoba sank in Lake Victoria. On that day I lost my mother, but never lost hope. I knew a day would come and will be able to cherish her memory and do something special to honor her life and the life she game me.I am happy to announce

[ Read More ]

Mama Mwanamwema Shein Akutana na Wake za Mambozi wa Afrika Ikulu Zanzibar

 Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein (Kulia)akizungumza na Mwenyekiti wa jumuiya ya wake za mabalozi wa afrika waliopo Tanzania Bi Aletha Isack Ikulu Mjini Zanzibar Jana  Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein akizungumza na wake za mabalozi ambao ni wanachama wa chama cha wake za Mabalozi Afrika.  Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein akonyesha jambo kwa wake

[ Read More ]