Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

Dr Shein Afanya Uteuzi wa Zanzibar Bureau of Standards

  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt Ali Mohamed Shein amemteuwa Profesa Ali Seif Mshimba kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Viwango la Zanzibar(Zanzibar Bureau of Standards) katika Wizara ya Biashara Viwanda na Masoko Zanzibar.   Kwa mujibu wa Taarifa iliotolewa na Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Dkt. Abdulhamid Yahya Mzee imeeleza

[ Read More ]

SHEREHE ZA MIAKA 49 YA MAPINDUZI KUANZA KESHO ZANZIBAR

Na Maelezo Zanzibar   Sherehe za miaka 49 ya Mapinduzi ya Zanzibar zinaanza rasmi kesho kwa kazi za kufanya usafi wa mazingira katika Wilaya zote za Unguja na Pemba.Kwa mujibu wa Ratiba iliyotolewa na Kamati ya Sherehe na maadhimisho ya kitaifa imeonesha kuwa Miradi ipatayo 62 inatarajiwa kuzinduliwa katika Visiwa vya Unguja na Pemba.  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

[ Read More ]