Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

MAANDAMANO YA KUADHIMISHA MWAKA MPYA WA KIISLAM

KATIBU wa Ofisi ya Mufti Zanzibar Shekh Fadhil Soraga akitowa  hadithi ya Mwaka wa Kiislam kwa Waumuni wa  Dini ya Kiislamu waliohudhuria sherehe za kuukaribisha mwaka wa Kiislam zilizofanyika  kiwanja cha Kisonge, Michezani.  BAADHI ya Waislamu waliohudhuria sherehe za maadhimisho ya  Mwaka wa Kiislam wakisikiliza mawaidha.  WANAFUNZI wa Madrasat mbalimbali waliohudhuria  sherehe

[ Read More ]

UJENZI UKUTA WA UWANJA WA NDEGE WAANZA.

SERIKALI ya Mapinduzi Zanzibar imeanza ujenzi wa ukuta utaozunguka Uwanja wa Kimataifa Abeid Amani Karume wenye urefu wa kilomita 12. Akizungumza na gazeti hili Mkurugenzi wa Idara ya Anga, Malik Mohamed Hanif, alisema ujenzi huo unafanyika chini ya Kampuni ya Sagea Satom ya Ufaransa, ambayo ndio iliyohusika katika upanuzi wa Njia ya kurukia ndege na kutulia hivi karibuni, ambapo tayari kazi hiyo

[ Read More ]

UJENZI WA JENGO LA ABIRIA UWANJA WA NDEGE KUANZA JANUARI.

JENGO la kisasa la abiria katika Uwanja wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume, utaanza Januari mwakani ambao utagharimu dola za Marekani milioni 70.4 hadi kukamilika kwake. Mkurugenzi wa Anga, Malik Mohamed Hanif, alisema hayo alipokuwa akizungumza na gazeti hili, mjini hapa amesema ujenzi huo utaanza mapema mwezi ujao na utachukuwa miaka mitatu hadi kukamilika kwake, ambao utagharimu Dola za Marekani

[ Read More ]