KATIBU wa Ofisi ya Mufti Zanzibar Shekh Fadhil Soraga akitowa hadithi ya Mwaka wa Kiislam kwa Waumuni wa Dini ya Kiislamu waliohudhuria sherehe za kuukaribisha mwaka wa Kiislam zilizofanyika kiwanja cha Kisonge, Michezani. BAADHI ya Waislamu waliohudhuria sherehe za maadhimisho ya Mwaka wa Kiislam wakisikiliza mawaidha. WANAFUNZI wa Madrasat mbalimbali waliohudhuria sherehe

SERIKALI ya Mapinduzi Zanzibar imeanza ujenzi wa ukuta utaozunguka Uwanja wa Kimataifa Abeid Amani Karume wenye urefu wa kilomita 12. Akizungumza na gazeti hili Mkurugenzi wa Idara ya Anga, Malik Mohamed Hanif, alisema ujenzi huo unafanyika chini ya Kampuni ya Sagea Satom ya Ufaransa, ambayo ndio iliyohusika katika upanuzi wa Njia ya kurukia ndege na kutulia hivi karibuni, ambapo tayari kazi hiyo

JENGO la kisasa la abiria katika Uwanja wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume, utaanza Januari mwakani ambao utagharimu dola za Marekani milioni 70.4 hadi kukamilika kwake. Mkurugenzi wa Anga, Malik Mohamed Hanif, alisema hayo alipokuwa akizungumza na gazeti hili, mjini hapa amesema ujenzi huo utaanza mapema mwezi ujao na utachukuwa miaka mitatu hadi kukamilika kwake, ambao utagharimu Dola za Marekani