Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

Mti Waangukia Magari Dar Leo

Mti unaoonesha umekula chumvi nyingi mchana huu umeangukia magari mawili yaliyopaki mtaa wa Jamhuri jijini Dar na kusababisha uharibifu mkubwa wa gari mojawananchi wakipita karibu na ajali hiyoKioo cha mbele kimepata madhara, gari lingine limesevu kia

[ Read More ]

VYUO VYA AMALI MSINGI KUWAWEZESHA VIJANA- SAMIA

WAZIRI wa Ofisi ya Makamu wa Rais anayeshughulikia Muungano, Samia Suluhu Hassan, amesema ujenzi wa vituo vya mafunzo ya amali nchini unalenga kuwasaidia na kuwajengea uwezo vijana. Alisema vyuo hivyo ni msingi wa kuwawezesha vijana ili waweze kujiari na kuajiriwa jambo ambalo litawasaidia kuepukana na ugumu wa maisha. Alisema hayo jana, wenye ufunguzi kituo cha Elimu ya Amali huko Chukwani, Wilaya

[ Read More ]

WAFANYAKAZI SKULI YA HIGH VIEW WAACHISHWA KAZI, WAKOSESHWA HAKI ZAO

JUMLA ya wafanyakazi wanne walioajiriwa kwa mkataba usio rasmi katika skuli ya HIGH VIEW, wameachishwa kazi na kukoseshwa haki zao zote ikiwemo mishahara ya miezi miwili. Wakizungumza na Zanzibar Leo wafanyakazi hao walisema uongozi wa skuli hiyo umechukua hatua ya kuwafukuza kazi kwa vile walikuwa wanadai haki zao kisheria. Aidha walifahamisha kuwa mnamo Disemba 2 mwezi uliopita, waliandikia barua

[ Read More ]