
Mti unaoonesha umekula chumvi nyingi mchana huu umeangukia magari mawili yaliyopaki mtaa wa Jamhuri jijini Dar na kusababisha uharibifu mkubwa wa gari mojawananchi wakipita karibu na ajali hiyoKioo cha mbele kimepata madhara, gari lingine limesevu kia