
Rais wa Marekani Barack Obama ana fursa nzuri kuibadili sura ya Marekani katika ulimwengu wa kiarabu, lakini hata hivyo ana muda mfupi wa kufanya hivyo kulingana na maoni kutoka kwa umma yaliyotokana na utafiti uliofanywa katika nchi za Misri, Jordan, Lebanon,Morocco, Saudi Arabia pamoja na miliki ya nchi za kiarabu. Utafiti huo uliotolewa siku ya jumannne ulionyesha kuwa asilimia arobaini na tano