Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

Rais wa Marekani Barack Obama kuibadili sura ya Marekani katika ulimwengu wa Kiarabu.

Rais wa Marekani Barack Obama ana fursa nzuri kuibadili sura ya Marekani katika ulimwengu wa kiarabu, lakini hata hivyo ana muda mfupi wa kufanya hivyo kulingana na maoni kutoka kwa umma yaliyotokana na utafiti uliofanywa katika nchi za Misri, Jordan, Lebanon,Morocco, Saudi Arabia pamoja na miliki ya nchi za kiarabu. Utafiti huo uliotolewa siku ya jumannne ulionyesha kuwa asilimia arobaini na tano

[ Read More ]

Waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu asisitiza kuwa Jerusalem utasalia kuwa mji mkuu wa Israel.

Waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu ameapa hii leo kuwa mji wa Jerusalem utasalia kuwa mji wa Israel milele huku Israel ikiadhimisha miaka arobaini na mbili baada ya kulichukua kwa nguvu eneo la mashariki la mji huo lenye wakaazi wengi wa kiarabu. Jerusalem ni mji mkuu wa Israel, umekuwa tangu hapo na utasalia hivyo milele, na kamwe hautagawanwa, alisema waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu

[ Read More ]

Maadhimisho ya miaka 60 ya Shirikisho la Jamhuri ya Ujerumani

Rais Horst Köhler wa Ujerumani amesema kwamba Ujerumani imestawi kuwa nchi yenye uwazi na ya kimataifa katika historia yake ya miaka 60. Rais Köhler amesema hayo mjini Berlin leo katika maadhimisho ya miaka 60 tokea kuundwa kwa shirikisho la Jamhuri ya Ujermani. Amesema katika miaka 60 iliyopita Ujerumani limekuwa taifa lenye uwazi kwa dunia .Ameeleza kuwa Ujerumani imeshiriki

[ Read More ]

Japan fetes Wangari Maathai

Nobel Laureate Wangari Maathai this week became the first Kenyan to receive the highest decoration from the Government of Japan for her campaign to protect the environment.Prof Maathai, a former assistant minister for the Environment and the head of the Greenbelt Movement, was decorated with “the Grand Cordon of the Order of the Rising Sun” in honour of her significant contribution in raising people’s

[ Read More ]

Food crisis whets EA’s appetite for GM crops

Worsening cereal production worldwide is swaying African countries to genetically modified crops. Research concluded last December shows that in developing countries — excluding Brazil, China and India — cereal production has fallen by 1.6 per cent. This has worsened the global food prices and posted a deeper shock to world economies.Many African countries are now switching from organic to GM crop

[ Read More ]

Obama cuts HIV funding, risks 1m lives

The lives of millions of Africans living with HIV/Aids are at risk following President Barack Obama’s underfunding of bilateral HIV/Aids programmes — among them the crucial President’s Emergency Plan for Aids Relief (Pepfar) and the Global Fund to Fight HIV/Aids, Tuberculosis and Malaria. The Obama administration’s $3.6 trillion budget, released on May 7, created a $3.3 billion hole in US bilateral

[ Read More ]

NSSF undecided over return to bourse

Indecision and fear have delayed the much awaited return of Uganda’s National Social Security Fund to the local bourse even after the Ministry of Finance, Planning and Economic Development allowed the Fund to resume investment activities in its real estate and equity business.Market sources who spoke to The EastAfrican revealed that the NSSF board and senior management are apparently undecided on

[ Read More ]

Iran says foreign troops no help to region's security

TEHRAN (Reuters) - Iranian President Mahmoud Ahmadinejad attacked the presence of foreign forces in the region at a summit with his Afghan and Pakistani counterparts on Sunday aimed at tackling terrorism and other security problems. In separate comments underscoring the Islamic Republic's deep mistrust of the United States, Supreme Leader Ayatollah Ali Khamenei told Afghanistan's Hamid Karzai

[ Read More ]

11 wafariki katika tamasha Morocco

Watu wasiopungua 11 wamefariki katika mji mkuu wa Morocco, Rabat, baada ya kukanyagana katika tamasha ya kimataifa ya muziki ya Mawazine. Kulingana na waandishi habari, inadhaniwa kwamba watu wengine 40 walijeruhiwa baada ya uzio wa senyenge kuporomoka. Tukio hilo lilifanyika usiku wa Jumamosi, wakati zaidi ya watu 70,000 walijaa pomoni katika uwanja

[ Read More ]

Kashfa ya Richmond kuibuka tena bunge lijalo

PAMOJA na macho na masikio ya Watanzania kuelekezwa bungeni kwa ajili ya bajeti ya serikali mapema mwezi ujao, kashfa ya Richmond iliyotikisa nchi mwaka jana itaibuka tena, safari hii serikali ikieleza ilipofikia katika utekelezaji wa maazimio 23 ya bunge. Bunge lililotoa maazimio hayo na kuitaka serikali kuyatekeleza, lakini zoezi hilo limekuwa likisuasua na mara kwa mara kuibua maswali, hasa katika

[ Read More ]

AGNES; Alichemsha kidato cha nne na ‘kutingisha’ Taifa kidato cha sita

[ Read More ]

Busanda kukata mzizi wa fitina leo

Uchanguzi mdogo wa ubunge katika Jimbo la Busanda, wilayani Geita, mkoani Mwanza, unafanyika leo baada ya hekaheka za kampeni za takribani siku 20 huku Tume ya Uchaguzi (NEC) ikiviasa vyama vinavyohusika kuheshimu kanuni na sheria kwa kuepuka vurugu. Mwenyekiti wa Tume, Jaji Lewis Makame, jana alisema kwamba NEC ilipata taarifa juu ya kuwapo mchezo mchafu wakati wa kampeni na alivitaka vyama vya siasa

[ Read More ]

feza students on study tour to TSN

Feza Secondary school yesterday visited the Tanzania Standard Newspaper (TSN) offices, the publishers of Daily News, Sunday News, Habari Leo and Habari Leo Jumapili for a Form Four study tour. The tour was organized by TSN as a program for the top ten schools in Dar es Salaam, a vision aimed at encouraging students to look at Journalism as a field to pursue and English as the medium of communication.

[ Read More ]

Dar set to ‘import’ its rhinos back from SA

The process to ‘import’ back Tanzanian Rhinoceroses that were ‘exported’ to South Africa decades ago have once again resumed, but may take till December to be thoroughly accomplished. The Director of Wildlife, Mr Erasmus Tarimo, has said negotiations with the South African government were in the final stages, but the dealings had to be temporarily stalled following the recently held general elections

[ Read More ]

Guantanamo yamkuna kichwa Obama

Rais Barack Obama anasema Marekani itatafuta njia muafaka za kuwadhibiti wafungwa hatari ambao wamezuiliwa kwenye kambi ya Guantanamo huku akisisitiza kwamba kuwepo kwa gereza hilo ni hatua isiyo na mwelekeo.Lakini alikiri kwamba baadhi ya wafungwa hao bado ni tishio kwa usalama wa Marekani.Alipendekeza kwamba baadhi ya wafungwa hao wanaweza kuhamishiwa kwenye magereza ya Marekani

[ Read More ]