Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

MAHAFALI YA NANE YA CHUO KIKUU CHA ZANZIBAR - ZANZIBAR UNIVERSITY

 Wahitimu wa somo la Law and Shariah wakitunukiwa Shahada ya digrii ya somo hilo,wakati wa mahafali ya nane katika Chuo kikuu cha Zanzibar Tunguu,yaliyofanyika jana Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,Dk Ali Mohamed Shein,akimpongeza Mtoto wake Asha Ali Mohamed Shein,wakati wa kutunukiwa Shahada ya Digrii ya Law & Shariah,katika mahfali ya nane,yaliyofanyika jana

[ Read More ]

UZINDUZI WA TAMASHA LA SAUTI YA BUSARA ZANZIBAR

BENDI ya Kikosi cha Askari Magereza wakiongoza Maandamano ya Uzinduzi wa Tamasha la Sauti ya Busara Zanzibar  likipita mitaani  wakati wa sherehe zahizo.  WASANII wa Kikundi cha Ngoma ya Benbati nao hao wakijukuika. WASANII wakishiriki maandamano ya Uzinduzi.  NAO  wacheza ngoma ya Mbwa kachoka(beni) wakiwa katika maandamano ya uzinduzi wa Tamasha la Busara Zanzibar. WASANII

[ Read More ]