Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

MAHAFALI YA NANE YA CHUO KIKUU CHA ZANZIBAR - ZANZIBAR UNIVERSITY




 Wahitimu wa somo la Law and Shariah wakitunukiwa Shahada ya digrii ya somo hilo,wakati wa mahafali ya nane katika Chuo kikuu cha Zanzibar Tunguu,yaliyofanyika jana
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,Dk Ali Mohamed Shein,akimpongeza Mtoto wake Asha Ali Mohamed Shein,wakati wa kutunukiwa Shahada ya Digrii ya Law & Shariah,katika mahfali ya nane,yaliyofanyika jana katika viwanja vya Chuo Kikuu cha Zanzibar Tunguu,wilaya ya Kati,Mkoa wa Kusini Unguja.
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,Dk Ali Mohamed Shein akiweka jiwe la msingi katika majengo mojawapo ya Chuo kikuu cha Zanzibar alipohudhuria mahafali ya nane ya chuo hicho.
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,Dk Ali Mohamed Shein akiongozana na wakuu wa Chuo cha Zanzibar alipohudhuria mahafali ya nane ya chuo hicho.


Baadhi ya wahitimu wa katika mahafali ya nane ya chuo kikuu cha Zanzibar Tunguu,wakiwa katika maandamano wakati wa sherehe za mahafli yaliyofanyika chuoni hapo jana,na kuhudhuriwa na viongozi wakuu wa akiwemo,Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein.
[ Read More ]

UZINDUZI WA TAMASHA LA SAUTI YA BUSARA ZANZIBAR


BENDI ya Kikosi cha Askari Magereza wakiongoza Maandamano ya Uzinduzi wa Tamasha la Sauti ya Busara Zanzibar  likipita mitaani  wakati wa sherehe zahizo.


 WASANII wa Kikundi cha Ngoma ya Benbati nao hao wakijukuika.
WASANII wakishiriki maandamano ya Uzinduzi.


 NAO  wacheza ngoma ya Mbwa kachoka(beni) wakiwa katika maandamano ya uzinduzi wa Tamasha la Busara Zanzibar.

WASANII wa ngoma ya Benbati nao hawako nyuma katika maonesho ya Tamasha la Sauti za Busara Zanzibar wakiwa katika Uzinduzi.
WANAWAKE  wakiwa  katika Vazi la kucheza Ngoma ya Mwanadenge wakipita mitaani katika uzinduzi wa tamasha la Sauti ya Busara Zanzibar.

 WASANII hao na mambo ya asili ya Muafrika  wakionesha  katika uzinduzi wa tamasha.
MSANII   Mkongwe wa Zanzibar Halikuniki akiwa na Zumari kupiota wote wakiwa katika Uzinduzi huo wakipita barabara ya Malindi kuelekea katika Viwanja vya Ngome Kongwe.
 HIVI  ndivyo ilivyo katika uzinduzi wa Tamasha la Sauti za Busara Zanzibar.
WASANII wakiwa katika maandamano ya Uzinduzi wa Tamasha wakiwa katika mavyazi ya kiasili ya Afrika  wakiwa katika maandamano wakipita katika mitaa ya Michezani.
 WATALII wakipata picha ya Kumbukumbu ya Tamasha la Sauti ya Busara kwa Mwaka 2011 ili kuweka kumbukumbu yao walivyotembelea Zanzibar.
WASANII wa Ngoma ya Kiluwa wakiwa katika  maandamano ya  Uzinduzi wa Tamasha la Sauti ya Busara Zanzibar. 
WATALII wakiangalia Maandamano ya Tamasha la Busara yakipita barabara ya Forodhani ikiwa ni ufunguzi wa Tamasha hilo. 
[ Read More ]