Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

INNAA LILAAHI WAINNAA ILAYHI RAAJI'UN - MAULID MOHAMMED MACHAPRALA HATUNAYE TENA


 Waumini wa kiislamu wakiomba duwa baada ya kumsalia
 Baadhi ya waumini waliohudhuria mazikoni wakiitikia duwa iliyokuwa ikiombwa kumuombewa Mzaa Machaprala

 Sehemu ya umati wa waumini waliohudhuria mazishi wakijipanga kwa ajili ya kuliupokea jeneza lililobeba mwili wa Ustaadh Machaprala

WANANCHI wakibeba jeneza lenye mwili wa Marehemu Maulid Machaprala baada ya kusaliwa msikiti Nambari Mwembetanga baada ya sala ya Ijumaa,
[ Read More ]

DK SHEIN ASHIRIKI MAZISHI YA MACHAPRALA



 Rais wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein,akishiriki na waumini wengine wa dini ya kiislamu kusalia Jeneza la marehemu Msanii Mzee Maulid Mohammed Machaprala, katika msikiti Nambar,Kisiwandui Mjini Zanzibar leo.


 Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein,alishiriki  katika mazishi ya Msanii maarufu wa muziki wa Taarab,Maulid Mohamed Machaprala,aliyefariki na kuzikwa jana kijijini Bambi,wilaya ya kati Unguja,pichani Dk  Shein,akitia udongo katika kaburi kama isharakatika mazishi hayo.
Rais wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein,pichani na waislamu wengine wakishuhudia harakati za mazishi ya Msanii Maarufu wa muziki wa Taarab,Maulid Mohamed Machaprala,aliyezikwa kijijini Bambi wilaya ya kati Unguja leo.


Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.
[ Read More ]

FOR SALE...

[ Read More ]

HUU NI KATILI.....

MWANAUME mmoja Aron Tilian (40) mkazi wa Kijiji cha Itimu, Kata ya Iwindi mkoani Mbeya amekamatwa na polisi kwa madai ya kufanya unyama kwa kumnyonga mpaka kufa mwanaye mwenye umri wa miaka mitatu na kumzika kwenye shamba la nyanya kisha juu yake kupanda miche ya mmea huo.

Tukio hilo lilitokea hivi karibuni katika kijiji hicho ambapo baada ya ukatili huo inadaiwa muuaji huyo alipeleka taarifa za uongo katika Kituo cha Polisi cha Mbalizi akidai kuwa mtoto huyo alikuwa amepotea katika mazingira ya kutatanisha.

 Wakizungumza na gazeti hili baadhi ya mashuhuda na askari polisi walisema kuwa, Aprili 21 mwaka huu Tilian alifika kituo cha polisi na kutoa taarifa huku akiutangazia umma kuwa mwanaye huyo alikuwa amepotea.

 Baada ya taarifa hizo wananchi wanaoishi katika kijiji hicho walitafakari na kuangalia vizuri mazingira ya upotevu wa mtoto huyo ambapo walibaini kuwa Tilian hakuwa na uhusiano mwema marehemu ambaye hakuwa mwanaye wa kumzaa.

“Huyu ndugu wakati anamuoa mkewe alimkuta akiwa na mtoto huyo, baada ya kuanza kuishi naye  akaanza kumfanyia visa mtoto  sasa limetokea hili,’’ alisema shuhuda mmoja kwa sharti la kutoandika jina gazetini.

Siku ya Ijumaa Kuu Aprili 22, mwaka huu wananchi walimkamata mtuhumiwa na kuanza kumpiga ndipo alibainisha  kuwa alikuwa amemuua mtoto huyo na kumfukia katika shamba lake la nyanya, wakaamua kupiga simu kituo cha polisi,” aliongeza.

Baadhi ya askari waliofika katika eneo la tukio waliozungumza kwa sharti la kutoandikwa gazetini kwa kuwa siyo wasemaji walisema kuwa walikuta maiti ya mtoto huyo asiye na hatia ikiwa imefukiwa kwenye shimo dogo, huku kichwa chake kikiwa chini na miguu ikiwa juu.

Kwa mujibu wa polisi mmoja mwenye cheo cha juu, mtuhumiwa huyo anashikiliwa na polisi, hata hivyo jitihada za kumpata Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Advocate Nyombi ili kulizungumzia tukio hili hazikuzaa matunda.



na global publishers
[ Read More ]

Mariah Carey and Nick Cannon have celebrated their third anniversary with another milestone - becoming parents to a baby girl and boy.



The singer's representative, Cindi Berger, confirmed the births at 12.07pm (5.07pm BST) on Saturday at a hospital in Los Angeles.
Ms Berger said the baby girl was born first, weighing 5lbs 3oz and was 18ins tall. Her brother was next, at 5lbs 6oz and was 19ins.
Ms Berger said the couple had not named the children yet. Nick drove Mariah to the hospital in their Rolls-Royce Phantom. Ms Berger said the 41-year-old, who had gone through false labour, was calm, thinking that it was another false alarm.
Meanwhile, Nick, 30, was so nervous he went to the wrong department at the hospital and was guided to the maternity ward by a nurse.
"It was like right out of an I Love Lucy skit," said Ms Berger, referring to the 1950s TV comedy.
Ms Berger said they were listening to Mariah's We Belong Together after the children were born.
The couple are expected to renew their wedding vows. The pair got married in 2007 after a whirlwind romance. They were the subject of endless baby rumours, and the couple actually were expecting shortly after their marriage, but Mariah had a miscarriage. They did not reveal the miscarriage until she announced her pregnancy last autumn.
The couple plan to live a bi-coastal life, and have luxurious nurseries in both New York and Los 
[ Read More ]