Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

HONGERA IRENE.


muigizaji filam maarufu wa inchini Tanzania irene uwoya hatimae amefunga pingu za maisha na Ndikumana.


more photos:global publisher.com
[ Read More ]

huyu ng'ombe au????????


[ Read More ]

watu wa nne wafariki dunia katika mapigano nchini india.


watu wapatao sita wamefariki dunia katika mapigano kati ya madhehebu maarufu nchini mysore india,mapigano hayo ambayo yalisababisha shunguli nyingi kusitisha kwa muda ikiwemo shule,vyuo vikuu,maofisi na maduka yote kufungwa kwa muda.Kitahanani hicho kilitokea katika maeneo ya udayagiri pale dhehebu la hindu walipomchinja ngurue na kumuingiza msikitini mnyama ambae kwa waislam ni gharamu, watu wapatao wa nne walifariki dunia katika mapigano hayo mali mbali mbali ziliharibia zikiwemo gari na baadhi ya maduka kuchomwa moto.
[ Read More ]