
muigizaji filam maarufu wa inchini Tanzania irene uwoya hatimae amefunga pingu za maisha na Ndikumana. more photos:global publisher.
muigizaji filam maarufu wa inchini Tanzania irene uwoya hatimae amefunga pingu za maisha na Ndikumana. more photos:global publisher.
watu wapatao sita wamefariki dunia katika mapigano kati ya madhehebu maarufu nchini mysore india,mapigano hayo ambayo yalisababisha shunguli nyingi kusitisha kwa muda ikiwemo shule,vyuo vikuu,maofisi na maduka yote kufungwa kwa muda.Kitahanani hicho kilitokea katika maeneo ya udayagiri pale dhehebu la hindu walipomchinja ngurue na kumuingiza msikitini mnyama ambae kwa waislam ni gharamu,