Watu waklikinga vikombe kupata dawa kutoka kwa Mchungaji mstaafu wa Kanisa la KKKT, Ambikile Mwasapile nyumbani kwake Kijiji cha Samunge,Ngorongoro.Hutibu magonjwa ya Ukimwi na merngine sugu kwa sh 500 tu. Gari inayoonyesha namba za usajili SM, ni mali ya Manispaa ya Arusha. Gari hili ni moja ya magari ya Serikali yakiwa nayo yanasonga mbele kwenye foleni ya kunywa dawa inayogawiwa