Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

Wengi Wafurika Kupata Tiba ya Ukimwi Kwa Tsh 500 tu.!

Watu waklikinga vikombe kupata dawa kutoka kwa Mchungaji mstaafu wa Kanisa la KKKT,  Ambikile Mwasapile nyumbani kwake Kijiji cha Samunge,Ngorongoro.Hutibu magonjwa ya Ukimwi na merngine sugu kwa sh 500 tu.   Gari inayoonyesha namba za usajili SM, ni mali ya Manispaa ya Arusha. Gari hili ni moja ya magari ya Serikali yakiwa nayo yanasonga mbele kwenye foleni ya kunywa dawa inayogawiwa

[ Read More ]

happy women's day

[ Read More ]