Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

FACEBOOK WILL END ON MARCH 15th!


PALO ALTO, CA –Mark Zuckerberg announced that Facebook will be shut down in March.
 Managing the site has become too stressful.
Facebook has gotten out of control,” said Zuckerberg in a press conference
 outside his Palo Alto office, “and the stress of managing this company has
 ruined my life. I need to put an end to all the madness.”
Zuckerberg went on to explain that starting March 15th, users will no 
longer be able to access their Facebook accounts.
“After March 15th the whole website shuts down,” said Avrat Humarthi,
 Vice President of Technical Affairs at Facebook. “So if you ever want to see 
your pictures again, I recommend you take them off the internet. You won’t be 
able to get them back once Facebook goes out of business.”
Zuckerberg said that the decision to shut down Facebook was difficult, 
but that he does not think people will be upset.
“I personally don’t think it’s a big deal,” he said in a private phone interview.
 “And to be honest, I think it’s for the better. Without Facebook, people will 
have to go outside and make real friends. That’s always a good thing.”
Some Facebook users were furious upon hearing the shocking news.
“What am I going to do without Facebook?” said Denise Bradshaw,
 a high school student from Indiana. “My life revolves around it.
 I’m on Facebook at least 10 hours a day. Now what am I going to do 
with all that free time?”
However, parents across the country have been experiencing a long
 anticipated sense of relief.
“I’m glad the Facebook nightmare is over,” said Jon Guttari, 
a single parent from Detroit. “Now my teenager’s face won’t be glued to a
 computer screen all day. Maybe I can even have a conversation with her.”
Those in the financial circuit are criticizing Zuckerberg for walking away 
from a multibillion dollar franchise. Facebook is currently ranked as one of the
 wealthiest businesses in the world, with economists estimating its value 
at around 7.9 billion.
But Zuckerberg remains unruffled by these accusations. He says he will 
stand by his decision to give Facebook the axe.
“I don’t care about the money,” said Zuckerberg. “I just want my old life back.”
The Facebook Corporation suggests that users remove all of their personal 
information from the website before March 15th. After that date, all photos, 
notes, links, and videos will be permanently erased.


[ Read More ]

MICHUANO YA MAPINDUZI CUP - BASKET BALL

MCHEZAJI wa timu ya Usolo Hafidh Mgeni akiwapita walizi wa timu ya Stone Town katika michezo ya fainali ya Kombe la Mapinduzi
 MCHEZAJI wa Timu ya Usolo Abubakari Buba akijaribu kumpita mchezaji wa yimu ya Stone Town Juma Mbai katika mashindanoiya Kombe la Mapinduzi yanayafanyika uwanja wa Basketi Maisara timu ya Stone Town imeibuka na Ushindi.
  WACHEZAJI wa Stone Town wakimsikiliza Mgeni Rasmin Mbunge wa Jimbo la  Kikwajuni Hamad Masauni akitowa nasaha zake kwa wachezaji wa mchezo huo
 WACHEZAJI wa timu ya Usolo wakimsikiliza Mbunge wa Jimbo la Kikwajuni Mwenye suti Hamadi Masauni akizinduwa mashindano ya Kombe la Mapinduzi kutimiza miaka 47, uliofanyika kiwanja cha Maisara. 




<> MCHEZAJI wa timu ya Usolo Abubakari Buba mwenye mpira akimpita mchezaji wa timu ya Stone Town katika mchezo wa kuadhimisha miaka 47 ya Mapinduzi ya Zanzibar uliofanyika Uwanja wa Maisara.
<>
 
WACHEZAJI wa Timu ya Stone Town wakifahamishana jinsi ya kuwamiliki wapizani wao Timu ya Usolo katika mchezo wa maadhimisho ya miaka 47 ya Mapinduzi mchezo uliofanyika uwanja wa Basket Ball Maisara timu ya Stone Town imetoka na ushindi.
[ Read More ]

MAALIM SEIF AIOMBA KOREA KUWAJENGEA UWEZO VIJANA.

MAKAMU wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad, ameiomba serikali ya watu wa Korea Kusini, kuangalia uwezekano wa kuisaidia Zanzibar katika sekta za Elimu na Kilimo ili kuwajengea uwezo wa kiuchumi vijana.

Maalim Seif, alitoa ombi hilo huko Ofisini kwake Migombani alipokuwa na mazungumzo na Balozi wa Korea Kusini nchini, Kim Young Hoon, ambapo pamoja na mambo mengine walizungungumzia haja ya kukuza ushirikiano kati ya nchi mbili hizo.

Makamu huyo alisema Zanzibar ni miongoni mwa nchi zinazoendelea, inakabiliwa na changamoto nyingi za kimaendeleo, ikiwemo kuwajengea uwezo wa kielimu vijana wake ili waweze kujiajiri pamoja na kuimarisha sekta ya kilimo.

Alisema Serikali ya Zanzibar imeunda Wizara maalum ya Kazi, Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi na Ushirika, kwa lengo la kuwajengea mazingira bora vijana ili waweze kujiajiri kwa kufanya kazi za amali.

Aidha alisema msukumo zaidi unahitajika ili kuinua kiwango cha elimu, kuanzia ngazi za msingi hususan katika fani za kiufundi, hivyo alimuomba Balozi huyo kutoa fursa zaidi za masomo katika nyanja hiyo.

Maalim Seif alifahamisha vijana wa Zanzibar, wanakabiliwa na changamoto kubwa ya ushindani wa ajira katika soko la pamoja na Afrika Mashariki, ambapo vijana wa ukanda huo watakuwa na fursa ya kufanyakazi kutoka nchi yoyote mwanachama.

Aidha Maalim seif alimweleza Balozi huyo kuwa visiwa vya Zanzibar vinahodhi eneo dogo la ardhi, ambapo upatikanaji wa mazao umekuwa sio wa uhakika kwa vie unazingatia zaidi mvua, huku kukiwa na mabadiliko ya hali ya hewa kila mara.

Alimwomba Balozi huyo kuangalia uwezekano wa nchi yake kusaidia uimarishaji wa miundo mbinu ya kilimo cha umwagiliaji pamoja na pembejeo ikiwemo ‘Power tiller’, sambamba na kutoa fursa zaidi za mafunzo kwa wataalamu wazalendo ili hatimae waweze kueneza taaluma hiyo kwa wakulima.

Katika hatua nyingine Malim Seif alimuomba Balozi huyo kuangalia uwezekano wa Shirika la Ndege la nchi yake kufanya safari za moja kwa moja hadi Zanzibar, ikiwa ni njia moja wapo ya kukuza utalii.

Alisema Serikali ya Zanzibar inaendelea na jitihada za kuimarisha miundo mbinu ya mawasiliano ikiwemo uimarishaji wa kiwanja chake cha Ndege kwa lengo la kukuza sekta hiyo muhimu inayochangia asilimia kubwa ya pato la taifa.

Nae Balozi Kim, alimuhakikishia Makamu wa Kwanza wa Rais, kuwa Korea itaendeleza ushirikiano wake wa muda mrefu na Zanzibar kwa kuongeza fursa za masomo kwa Wazanzibari ili kuwajengea uwezo vijana pamoja na kutuma Wataalamu wa kujitolea kushirikiana na wazalendo katika miradi mbali mbali.

Alisema vijana wa Zanzibar wanaweza kufaidika zaidi kutokana na fursa za mafunzo kwa kutafuta taarifa sahihi kupitia mtandao wao wa  Koika.

Aidha aliiomba serikali kuangalia kwa karibu zaidi usalama wa wataalamu wake wa kujitolea pale wanapokuwa nchini katika shughuli za kazi katika maeneo ya vijijini.
[ Read More ]

MGAMBO!!!!???? HII NI HAKI KWELI???






Ukamataji 'wamachinga' katika baadhi ya maeneo Tanzania... aibu tupu
(Source: Mpoki Bukuku blog)

[ Read More ]