Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

FACEBOOK WILL END ON MARCH 15th!

PALO ALTO, CA –Mark Zuckerberg announced that Facebook will be shut down in March. Managing the site has become too stressful.Facebook has gotten out of control,” said Zuckerberg in a press conference outside his Palo Alto office, “and the stress of managing this company has ruined my life. I need to put an end to all the madness.”Zuckerberg went on to explain that starting March 15th,

[ Read More ]

MICHUANO YA MAPINDUZI CUP - BASKET BALL

MCHEZAJI wa timu ya Usolo Hafidh Mgeni akiwapita walizi wa timu ya Stone Town katika michezo ya fainali ya Kombe la Mapinduzi  MCHEZAJI wa Timu ya Usolo Abubakari Buba akijaribu kumpita mchezaji wa yimu ya Stone Town Juma Mbai katika mashindanoiya Kombe la Mapinduzi yanayafanyika uwanja wa Basketi Maisara timu ya Stone Town imeibuka na Ushindi.   WACHEZAJI wa Stone Town wakimsikiliza Mgeni

[ Read More ]

MAALIM SEIF AIOMBA KOREA KUWAJENGEA UWEZO VIJANA.

MAKAMU wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad, ameiomba serikali ya watu wa Korea Kusini, kuangalia uwezekano wa kuisaidia Zanzibar katika sekta za Elimu na Kilimo ili kuwajengea uwezo wa kiuchumi vijana. Maalim Seif, alitoa ombi hilo huko Ofisini kwake Migombani alipokuwa na mazungumzo na Balozi wa Korea Kusini nchini, Kim Young Hoon, ambapo pamoja na mambo mengine walizungungumzia

[ Read More ]

MGAMBO!!!!???? HII NI HAKI KWELI???

Ukamataji 'wamachinga' katika baadhi ya maeneo Tanzania... aibu tupu(Source: Mpoki Bukuku blo

[ Read More ]