
Wakati watanzania wakiungana na watu mbalimbali duniani kuadhimisha siku ya UKIMWI duniani Aids Week in Review linaandika:Wizara ya Afya naUstawi wa Jamii, imesema spiriti inayotumiwa katika mashine za kunyolea na vifaa vya kutengenezea kucha katika saluni za kike na kiume nchini Tanzania, haziui virusi vya Ukimwi. Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk.Hadji Mponda