Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

SIMU ZA VIGANJANI ZANYE TELEVISHENI KUATHIRIWA NA UZIMAJI WA MITAMBO YA ANALOJIA LEO

BAADHI ya watumiaji wa simu za viganjani zenye televisheni ni miongoni mwa watu watakaoathirika na uzimaji wa mitambo ya utangazaji wa televisheni ya mfumo wa analojia. Akizungumza na wandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo, wakati Mkurugenzi wa Mamlaka ya Mawasialiano nchini  (TCRA), akitoa taarifa kuhusu uzimaji wa mitambo hiyo ya analoji kwenda dijitali, kwa mkoa wa Dar es Salaam,

[ Read More ]

Rest in Peace.

She was a student, 23 years old, Her fault some people say because she boarded the wrong bus, And oh yeah SHE WAS A GIRL, Six men raped her one by one and then used an iron rod to tear her vagina-Small intestine and large intestine came out They left her to die on the road Naked! Wounded! Exposed! Devastated What’s

[ Read More ]

Mwili wa mhanga wa ubakaji wachomwa

Mhanga wa ubakaji na mauaji yaliyozusha maombolezo makali pamoja na hasira nchini India amefanyiwa taratibu za mazishi kwa kaida za Kihindi, kwa kuchomwa tukio lililofanyika kwa faragha leo Jumapili30.12.2012). Tukio hilo lilifanyika saa kadhaa baada ya mwili wa marehemu kurejeshwa nchini humo kutoka Singapore. Mwanamke huyo ambaye hakutajwa jina lake mwenye umri wa miaka 23, ambaye alisababisha

[ Read More ]

Muhanga wa ubakaji India afariki dunia

Mwili wa mwanamke wa India ambaye amefariki hospitalini nchini Singapore baada ya kubakwa kinyama mjini New Delhi ulitarajiwa kurejeshwa nyumbani siku ya Jumamosi (29 Disemba). Balozi  wa India  nchini  Singapore, T. C. A Raghavan  amewaambia waandishi  habari kwamba mwanamke huyo alifariki kutokana na viungo vyake kushindwa kufanya kazi akiwa anapatiwa matibabu.&nbs

[ Read More ]