Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

AL-SHABAAB YATISHIA KUSHAMBULIA MIKOA YA KASKAZINI MASHARIKI YA TANZANIA

KUNDI la kigaidi nchini Somalia lenye uhusiano na al Qaeda, la al Shabaab limetishia kufanya mashambulizi Tanga na Kilimanjaro na tayari vyombo vya usalama mkoani Kilimanjaro, vimetoa hadhari katika maeneo ya viwanda vinavyoweza kushambuliwa. Kamanda wa Polisi wa Mkoa, Absalom Mwakyoma, alithibitisha kuwapo kwa tishio hilo lakini alikataa kuzungumzia zaidi kwa madai ni la kiusalama zaidi. “Hilo

[ Read More ]