Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

 ‘’ASalaammu Alaikum’’ Jummuah Mubarak   O Allah!On this blessed day we ask of you... Guide us among those, whom you have guided, And grant us protection among those whom you have protected.   Befriend us among those whom you have befriended. Grant us blessings in that, which you have given us, And save us from the evil which you have ordained.   For,

[ Read More ]

Mashindano ya kusoma Qur'an London.

Hafla ya matokeo ya kusoma Qur'an ya mwaka 2010 (1431 AH) yamefanyika siku ya Alhamisi ya tarehe 03/02/2011 katika ukumbi wa Town Hall, East Ham, jijini London. Washiriki wasiopungua 18 walishiriki mashindano hayo ya kusoma Qur'an yaliyoandaliwa na kituo cha kujitolea na kinachosaidia Waislamu waishio nchini Uingereza (Salama Trust). Mashindano hayo yaligawanyuka katika makundi matatu. Mshindi

[ Read More ]

Taarifa Ya Habari Yasomwa Gizani Nepal

''Ifuatayo ni taarifa ya habari ikisomewa gizani, kwa kuwa umeme umekatwa.'' Mojawapo wa vituo vikuu vya televisheni nchini Nepal kimeanza kutangaza taarifa zake za habari za usiku katika mazingira ya nusu kiza ili kubainisha athari za ukataji mkubwa wa umeme. Tangu mwanzoni mwa mwezi wa February, kituo cha televisheni cha Kantipur kimetumia taaa zinazotumia mafuta kutoa mwanga wakati wa taarifa

[ Read More ]