Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

Maziko ya Haji Mohammed katika Kijiji cha Shakani Zanzibar.

Waumini wa Dini ya Kiislam wakisoma hitma kumuombea Marehemu Haji Mohammed, katika msikiti wa Nambar Muembetanga asubuhi ya leo kabla ya kusaliwa maiti , ikiongozwa na Shekh. Nurdini. Waumini wa dini ya Kiislam wakiusalia mwili wa marehemu Haji Mohammed Omar katika Msikiti  Nambari muembetanga,  Wananchi wakiwa katika mstari  wakati wa kubeba jeneza la 

[ Read More ]

Mwili wa Marehemu Haji Mohammed wapokelewa kwa Simanzi Zanzibar na Wapenzi wake na Wananchi katika Bandari ya Zanzibar.

Marehemu Haji Mohammed Kirembwe cha Siti Bint Saad, wakati wa uhai wake akiimba na kikundi cha gusagusa .  Mtoto wa Kwanza wa Marehemu Haji Mohammed, akishindikizwa na nduga na jamaa waliofika katika bandari ya Zanzibar kupokea mwili huo leo jioni ukitokea Jijini  Dar-es- Salaam,  Marehemu Haji Mohammed anatarajiwa kuzikwa kesho saa 4.00 asubuhi na sala ya maiti itafanyika Mskiti

[ Read More ]