Waumini wa Dini ya Kiislam wakisoma hitma kumuombea Marehemu Haji Mohammed, katika msikiti wa Nambar Muembetanga asubuhi ya leo kabla ya kusaliwa maiti , ikiongozwa na Shekh. Nurdini. Waumini wa dini ya Kiislam wakiusalia mwili wa marehemu Haji Mohammed Omar katika Msikiti Nambari muembetanga, Wananchi wakiwa katika mstari wakati wa kubeba jeneza la

Marehemu Haji Mohammed Kirembwe cha Siti Bint Saad, wakati wa uhai wake akiimba na kikundi cha gusagusa . Mtoto wa Kwanza wa Marehemu Haji Mohammed, akishindikizwa na nduga na jamaa waliofika katika bandari ya Zanzibar kupokea mwili huo leo jioni ukitokea Jijini Dar-es- Salaam, Marehemu Haji Mohammed anatarajiwa kuzikwa kesho saa 4.00 asubuhi na sala ya maiti itafanyika Mskiti