Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

[ Read More ]

ATM



















[ Read More ]

DK SHEIN AZINDUA KITUO KIPYA CHA AFYA KONDE PEMBA

Rais wa Zanzibar a Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein,akisalimiana na wananchi wa Konde wilaya ya Micheweni Pemba,alipozindua kituo cha Afya na Nyukba ya Dakatari,katika shamra shamra za miaka 47 ya Mapinduzi ya Zanzibar.

 Rais wa  Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein,akifungua pazia kuashiria  uzinduzi wa  Kituo cha Afya na Nyumba ya Dakatari, Konde Wilaya ya Micheweni Pemba,katika shamara shamra za miaka 47 ya Mapinduzi


 Rais wa  Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein,akizungumza na mkuu wa kituo cha afya Konde,baada ya kuzindua  Kituo hicho, sambamba na Nyumba ya Daktari, ,katika shamra shamra za miaka 47 ya Mapinduzi
Mwakilishi wa Benki ya Maendeleo ya Afrika ADB,Prajesh akitoa hutuba yake kwa kuwashukuru wananchi wa Konde na Wizara ya Afya kwa kushirikiana pamoja kujenga kituo hicho cha afya na nyumba ya Dakatari,wakati hafla ya uzinduzi wa kituo hicho jana.

 Baadhi ya wananchi waliohudhuria uzinduzi wa Kituo cha Afya Konde
 Waziri wa Afya Mhe Juma Duni akitoa maelezo mafupi ya kituo cha Afya Konde 
 Wanafunzi nao pia walikuwepo katika uzinduzi wa kituo cha Afya cha Konde
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Shein akisalimiana na Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya Dk Jidawi. 
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Shein akitoa salamu pamoja na nasaha zake baada ya kukizindua kituo cha Afya Konde leo

Picha zote na Ramadhan Othman Ikulu
[ Read More ]

Facebook Says It’s NOT Shutting Down March 15 [UPDATED]


There’s a silly rumor exploding on the Internet this weekend, alleging that Facebook is shutting down on March 15 because CEO Mark Zuckerberg “wants his old life back,” and desires to “put an end to all the madness.”
[UPDATE]
We have official confirmation from Facebook Director of Corporate Communications Larry Yu that the rumor is false. We asked him via e-mail if Facebook was shutting down on March 15, to which he responded, “The answer is no, so please help us put an end to this silliness.” He added, “We didn’t get the memo about shutting down and there’s lots to do, so we’ll just keep cranking away like always.”
Let’s think about this for a minute. Would Facebook decide to shut down the company just a few days afterannouncing a round of funding, consisting of $450 million from Goldman Sachs and $50 million from Russian investment firm Digital Sky Technologies, on a valuation of $50 billion?
The spurious report was started by a site to which we refuse to link, known for its reports of impending attacks of alien spaceships and false reports of a Michelle Obama pregnancy.
The fact that this absurd hoax spread so efficiently makes us wonder: Will people believe anything?
[ Read More ]

MABADILIKO.


Mabadiliko ya email ya kuwasiliana na blog hii. kutoka fromcoast@hotmail.com kwenda rea_mwinyi@yahoo.co.uk


ahsante endelea kutembelea blog hii..
[ Read More ]

FLAVIANNA MATATA ON GLASS MAGAZINE!


Young and beautiful, humble but fierce it's Flavy on Glass Magazine looking sexy as usually...
[ Read More ]