Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

Watoto 4750 Wanaishi Mazingira Magumu Wete

WATOTO 4750 kutoka shehia 22 za wilaya ya Wete wanaishi katika mazingira magumu mno, utafiti uliofanywa na kitengo cha hifadhi ya mtoto Pemba, umebainisha.Afisa kutoka kitengo cha hifadhi ya mtoto Pemba, Raya Said aliliambia gazeti hili katika mahojiano maalum kwamba, watoto hao walibainika katika kaya zote zilizo ndani ya wilaya hiyo.Alisema hao ni wale wanaoishi katika mazingira magumu mno, ambao

[ Read More ]

Wanafunzi 19 Waozeshwa Waume, Wapewa Mimba Chake

WANAFUNZI 19 walipewa mimba na kuozeshwa waume katika skuli 9 za wilaya ya Chake kuanzia mwaka 2008 hadi mwaka uliopita, wakiwemo wanafunzi wawili wa darasa la tano na saba kutoka skuli za Vitongoji na Pujini ambao wote walipewa mimba.Kwa mujibu wa takwimu za Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Pemba, wanafunzi sita walipewa mimba au kuolewa katika skuli ya Ndagoni mwaka 2008 pekee.Aidha wanafunzi

[ Read More ]