Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

Just in:

Inna lillahi waina ilaihi rajiun.

Ajali ya boti iliyokuwa ikitokea Pangani Tanga imezama watu wanane wamefariki wakiwemo watoto watatu. Na watu kumi na moja wamepotea baharini. Wengine wameokolewa na boti ilikuwa na jumla ya watu 35. Chombo hicho kimezama kutokana na hali ya hewa ya upepo,Mammlaka ya hali ya hewa jana mwanzoni mwa week hii imetoa tahadhari ya kuwepo kwa mvua kubwa na upepo.
[ Read More ]