Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

Just In: Rais Jakaya Kikwete Ateua Wabunge Wapya Watatu Zakhia Meghji Na Shamsi Vuai Nahodha Waula

Ndugu Shamsi Vuai NahodhaZakia Hamdan Meghji -------------TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Rais Jakaya Mrisho Kikwete,amefanya uteuzi wa Wabunge watatu(3)kwa mujibu wa Ibara ya 66 (1)(e)ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya Mwaka 1977, kama ilivyorekebishwa na kupewa mamlaka ya kuteua Wabunge 10. Wabunge walioteuliwa ni Ndugu Shamsi Vuai Nahodha,Prof.Makame Mnyaa Mbarawa na Ndugu Zakia Hamdan

[ Read More ]