Palikuwa pakitambulika kama Murambi technical school kablamauji ya Rwanda (Rwanda genocide)1994.Lakini sasa panaitwa Murambi memorial centre kwani ndio eneo ambalo mauaji makubwayalitokea.Tarehe 16 mwezi wa 4 mwaka 1994 watu wengi (tutsi)wanaokadiriwa kufikia 65,00 walikimbiliaeneo hilo la shule kujificha na waliweza kujitetea kwa mawelakini tarehe 21 wakazidiwa ambapo watu 45,ooo