Baba mmoja amefariki dunia na mkewe kujeruhiwa vibaya baada ya kuangukiwa na waya wa umeme. Kamanda wa Mkoa wa Kipolisi wa Ilala, Faustine Shilogile amemtaja marehemu kuwa ni Masari Abdulhussein, 27, na aliyejeruhiwa kuwa ni Bi. Najma Swalehe, 24, wote wakazi wa Kigamboni. Akisimulia tukio hilo, Kamanda Shilogile amesema watu hao wamekutwa na mkasa huo wakati wakiwa wamebebana kwenye pikipiki.
Moto mkubwa umelipuka katika jengo la Golden Sand lililopo kwenye Mtaa wa Karume pale Oysterbay Jijini na kusababisha mali zenye thamani ya mamilioni ya fedha kuteketea.Kamanda wa Mkoa wa Kipolisi Kinondoni, Mark Kalunguyeye, amesema moto huo ulianza jana mishale ya saa 1:00 asubuhi na kuunguza chumba kimoja cha jengo hilo, ambalo ni mali ya Bw. Fidar Hussein.Amesema chumba namba tisa cha jengo hilo
Mwanamke mmoja Jijini ameuawa kinyama kwa kuchinjwa na kisha kichwa chake na kiwiliwili kutengenishwa.Inadaiwa mwanamke huyo ameuawa na mtu anayedaiwa kuwa ni mume wake.Tukio hilo la mauaji ya kinyama, linadaiwa kutokea jana katika maeneo ya Kigogo Jijini.Taarifa ambazo Alasiri imezipata, zinaeleza kuwa aliyetekeleza mauaji hayo ya kinyama ni mume wa mwanamke huyo ambaye alitoroka baada ya tukio.Hata

Baadhi ya waombolezaji wakitoa heshima za mwisho kwa aliyekuwa mwanafunzi wa Chuo Kikuu Kishiriki cha Elimu (DUCE), Beatha Mwarabu (picha ndogo) aliyeuawa kwa kuchomwa kisu na mwanafunzi mwenzake. Heshima za mwisho zilitolewa jana chuoni hapo Chang’ombe, Dar es Sala
Padri Josephat Mosha wa Kanisa Katoliki Parokia ya Chang’ombe mkoani Dar es Salaam, amewataka wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) kutambua na kuzingatia kilichowapeleka chuoni hapo na kuachana kabisa na dhana potofu ya kudanganyana kuhusu uhusiano. “Katika maisha haya ya shule, mara nyingi sana wengi wetu huwa tunapotoshana kuhusu neno upendo na kufikia mahali mtu anasahau hata kile
wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) wamefunga barabara na kuharibu gari katika eneo la Mabibo baada ya kukasirishwa na wenzao wawili kugongwa na pikipiki na kuwajeruhi juzi usiku. Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Suleiman Kova alisema hayo jana Dar es Salaam na kuwataja wanafunzi waliogongwa ni Ibrahimu Mkama (25) na Sayelo Daniel (30), ambao walitibiwa chuoni hapo baada ya kupewa
MAMIA ya wakazi wa kijiji cha Sing'isi kilicho wilayani Arumeru mkoani Arusha, wamevamia kwa siku mbili mfululizo shamba la Madira Estate linalomilikiwa na Mbunge wa Vunjo, Aloyce Kimaro na kuteketeza kwa moto zaidi ya nyumba 15 zilizo kuwa kwenye shamba hilo na kukata mazao kadhaa yenye thamani ya mamilioni ya fedha. Tukio hili limetokea wakati Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiwa mjini hapa kushiriki
The Zanzibar Port Cooperation (ZPC) yesterday said the captain of MV Fatih which capsized at Malindi Port last week was to blame for the accident.ZPC Technical Director Abdi Omar said the captain Ussi Ali Ussi gave wrong information on the exact number of passengers who were on board before the cargo ship capsized.Omar told this paper that Captain Ussi had told the authorities that MV Fatih carried

Mwanafunzi wa mwaka wa pili katika Chuo Kikuu cha Elimu (Duce), jijini Dar es Salaam, Bertha Mwarabu (23), ameuawa na mwanafunzi mwenzake kwa kuchomwa kisu kwenye titi na tumboni kwa kinachodaiwa ni kutokana na wivu wa mapenzi. Kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Kinondoni, Mark Kalunguyeye, tukio hilo lilitokea usiku wa kuamkia jana katika hosteli za chuo hicho zilizopo Mabibo, jijini Dar