Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

Mungu ibariki Tanzania.

    Uongozi mtamu lakini mgumu .So sad!! i am so sure kuwa Rais kikwete yupo katika wakati mgumu sana,pale watu uliowaamini wanaposhindwa kuwa waadilifu, Mungu muongoze aweze kuivusha vyema Tanzania, sometime we need to think positive and its negative . Uadilifu ni kitu kigumu sana tofauti na watu wanavyofikiria.kazi nzuri kwa waliofanikisha kujiuzulu kwa mawaziri..ila siku zote lazima tuelewe kwamba kwenye mwema hakosekani mbaya kuna wanaotaka changes kwa seek of the country and its people, ila ndani yake pia kuna wale wanaomendea kitu flani..so kazi imekamilika tunachotegemea ni mabadiliko ya kweli,tuache uchochezi utakaopelekea kuvunjika kwa amani.watanzania waungane kuleta mabadiliko lakini ni lazima kufanya maamuzi sahihi.tusieneze or kuandika upupu tu ambao mwisho wa siku utatuwasha wenyewe..Kweli kuna freedom of speech kuna wanaosema #mawaziri wameachia ngazi @ next Raisi!..unae chochea hivi jee umejiamini??lazima tukumbuke kuwa wapiganapo fahari wawili ziumiazo ni nyasi..so kabla ya kukurupuka lazima tufikirie wananchi wa kawaida ambao kila cku ndio waathirika wakubwa..Tuungane pamoja kuleta mabadiliko katika nchii yetu.lakini lazima tuelewe mabadiliko hayo hayaji kama ndoto ukilala utaota na kushtuka lazima tujipange.same na waliowezesha kujiuzulu kwa mawaziri naamini hawakuota tu na kukurupuka tu lazima wamejipanga wamejiamini na kushirikiana.Tuendelee kuwa na sauti mojà,kudumisha Amani na utulivu iliopo katika nchi yetu.Mungu ibariki Tanzania Mungu wabariki watanzani.
[ Read More ]

BREAKING NEWS:

 Mawaziri nane wajiuzulu.Waziri wa Fedha, Mustafa Mkulo, Waziri wa Viwanda na Biashara, Cyril Chami, Waziri wa Nishati na Madini, William Ngeleja, Waziri wa Uchukuzi, Omar Nundu, Waziri wa Maliasili na Utalii, Ezekiel Maige, Waziri Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi),George Mkuchika, Waziri wa Kilimo Chakula na Ushurika Jumanne Maghembe na Waziri wa Afya, Dk. Haji Mponda
[ Read More ]