Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

Kitu cha round about michenzani na maji ya rangi yamerudi tena.





[ Read More ]

Upakuzi wa Mizigo Ufukwe wa bahari ya Malindi Funguni.







Gari ya mizigo ikiwa imeingia ufukweni mwa bahari ya funguni ikipakia mbao zinazotoka katika jahazi wakati maji yakiwa yametoka, bandari hii hutumika kwa kushushia mizigo aina ya miti na mkaa kutoka Dar-es-Salaam, awali ushushaji wa mizigo ulikuwa ukitolewa juu baada ya ukuta wa bandari hii kuharibika kwa maji ya bahari inakuwa usumbufu wakati wa maji yakiwa yamejaa inakuwa shida uchukuzi wake.
[ Read More ]

Zanzibar Nominated Best Resort in Africa By Russians Internet Users


A cross section of international participants at the Star Travel.ru award ceremony in Moscow
                     

Mr. Mbarouk N. Mbarouk, HOC Embassy of Tanzania Moscow, after receiving the Star Travel.ru award for Zanzibar
Star Travel.ru Diploma for Zanzibar - the best resort in Africa

Tanzania stand at the Moscow International Travel and Tourism Exhibition 2012, Moscow, Russia

Team Tanzania at the MITT 2012 Tanzania Stand with Star Travel.ru award of Zanzibar
Zanzibar became the winner of the annual Russian tourism consumer award "Star Travel.ru"-2011. The islands won the award for "Best Resort in Africa (excluding Egypt)”. Among the 23 resorts nominated by tourists and travelers for the award, Zanzibar gained the most votes.
The official Star Travel award ceremony was carried on 22 March 2012 within the framework of the Moscow International Travel and Tourism Exhibition (MITT 2012). Mr. Mbarouk N. Mbarouk, Head of Chancery of the Tanzanian Embassy in Moscow, received the award on behalf of the Embassy.

“Star Travel.ru "- is the first consumer award in tourism and the only one of its kind in Russia. The prize was conceived in 2003 and is awarded on the results of online voting by tourists and travelers. In 2010 the Star Travel Award for the best resort in Africa (excluding Egypt) was won by Agadir (Morocco)
This year mark the 10th anniversary since Tanzania started regular promotions of its tourism attractions in the Russian Federation by participating in tourism exhibitions, organizing roadshows, seminars, press tours, distribution of brochures etc. The Star Travel award, therefore, is partly recognition of these promotion efforts carried out by tourism stakeholders, namely Tanzania Tourism Board, Zanzibar Tourism Commission, Tanzania National Parks, the Embassy of Tanzania in Moscow and others, over the last 10 years.
[ Read More ]

Bi Tele na Wasanii Wezake Chupuchupu Kupata Kipigo


Wasanii wa maigizo wa kikundi cha Valentine Arts Group cha mtaa wa Jang'ombe, juzi walinusurika kupata kipigo baada ya watu waliohudhuria onesho lao kuzusha vurugu, na wasanii hao kuokolewa na polisi.
Onesho la kikundi hicho lilifanyika katika skuli ya Chumbuni kwa kutunia umeme wa jenereta kutokana na juzi Jumapili nishati hiyo kuzimwa nchi nzima kwa ajili ya matengenezo katika kituo cha Ubungo mjini Dar es Salaam.
Vurugu hizo zilianza mara baada ya kuharibika kwa jenereta hali iliyosababisha kuvunjika kwa onesho hilo.

Hali hiyo iliwafanya baadhi ya watu waliohudhuria kuanza kurusha mawe dhidi ya wasanii hao akiwemo mwanamama aliyejipatia umaarufu kwa jina la Bi Tele anayeigiza uchawi katika igizo la ‘Husdaa’ linalorushwa kila siku ya Jumatano katika kituo cha ZBC Televisheni.
Akizungumza na gazeti hili mara baada ya polisi kudhibiti ghasia hizo, Mwalimu msaidizi wa kikundi hicho Samuel Said Makunga, alisema vitendo hivyo si uungwana, na kwamba wananchi hao hawakupaswa kufanya fujo na badala yake walikuwa wasubiri.
Naye msanii anayetikisha katika igizo la ‘Husdaa’ Bi Tele, alilaani vitendo hivyo na kuongeza kuwa akili za vijana waliohusika navyo zinasumbuliwa na bangi.
Kwa upande wao, baadhi ya wapenzi wa sanaa waliokuwepo, walidai kuwa walilazimika kufanya hivyo kwani tayari walikwishalipa fedha ili kupata burudani hiyo, na kwamba waliamua kuwapa fundisho wasanii hao.
[ Read More ]




A doctor entered the hospital in hurry after being called in for an urgent surgery. He answered the call asap, changed his clothes and went directly to the surgery block. He found the boys father going and coming in the hall waiting for the doctor. Once seeing him, the dad yelled: Why did you take all this time to come? Dont you know that my son's life is in danger? Don't you have the sense of responsibility??The doctor smiled and said: I am sorry, I wasn't in the hospital and I came as fast as I could after receiving the call. And now, I wish you would calm down so that I can do my work??Calm down?! What if your son was in this room right now, would you calm down? If your own son dies now what will you do??? said the father angrily. The doctor smiled again and replied: From dust we came and to dust we return. Doctors cannot prolong lives. Go and pray to God for your son, we will do our best by Gods grace??Giving advice when we're not concerned is so easy? Murmured the father. The surgery took some hours after which the doctor went out happy, Thank God!, your son is saved!?And without waiting for the father.s reply he carried on his way running. If you have any question, ask the nurse!!??
 Father: Why is he so arrogant? He couldnt wait some minutes so that I ask about him my son's state? commented the father when seeing the nurse minutes after the doctor left. The nurse answered, tears coming down her face: His son died yesterday in a road accident, he was in the burial when we called him for your son's surgery. And now that he saved your son's life, he left running to finish the formalities.
 We sometimes feel we have the worst moments and yet there are people whose lives are really messed up but they remain strong enough to carry on our burdens!
[ Read More ]