Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

WAUWAJI WA STEPHEN LAWRENCE WABAINIKA!

Baada ya miaka 18 ya upelelezi na kuendesha kesi kuhusu mauwaji ya kijana mweusi mjini London, Stephen Lawrence, wanaume wawili wamepatikana na hatia. Gary Dobson na David Norris Gary Dobson na David Norris wamepatikana na hatia na jopo la mahakama baada ya kesi hio kutegemea ushahidi wa kitaalamu. Wataalamu wa uchunguzi

[ Read More ]