Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

Zuma promises half a million jobs

New South African President Jacob Zuma has promised to create half a million jobs this year in his first state of the nation address. He said fighting poverty was his priority, a week after South Africa officially announced it was facing its worst recession in 17 years. "We must act now to minimise the impact of this downturn on those most vulnerable," he said in Cape Town. But he also told parliament

[ Read More ]

Kinakili safari huenda kisipatikane

Maafisa wa safari za ndege wa Ufaransa wamesema vifaa vya kunakili safari ya ndege iliyotoweka katika bahari ya Atlantic huenda visipatikane. Maafisa hao walisema watafanya uchunguzi kwa makini mno, lakini walisema kazi yao wanaitekeleza katika mazingira ya hali ngumu mno. Ndege hiyo, nambari AF 447, ilitoweka siku ya Jumatatu ilipokuwa safarini kutoka Rio nchini Brazil, ikielekea Paris, nchini

[ Read More ]

Obama aanza ziara mashariki ya kati

Rais wa Marekani Barack Obama amewasili nchini Saudi Arabia katika mwanzo wa ziara yake mashariki ya kati, inayolenga kuimarisha uhusiano baina ya Marekani na nchi za Kiislamu. Bwana Obama alitarajiwa kuwa mjini Riyadh kwa muda wa saa nne kabla ya kuelekea nchini Misri, ambako atatoa hotuba muhimu mjini Cairo. Anasema anataka kuanzisha mdahalo na waislamu , kuondosha hali ya kutoelewana na kufufua

[ Read More ]

Mwanajeshi Dar afa ajalini

Askari mmoja wa Jeshi la Wananchi Tanzania, JWTZ, mwenye cheo cha Kapteni, aliyetambuliwa kwa jina la Robert Makongoro, 31, amefariki dunia papo hapo baada ya gari alilokuwa anaendesha kugongwa na gari lingine katika barabara ya Sam Nujoma Jijini Dar es Salaam. Kamanda wa Mkoa wa Kipolisi wa Kinondoni, Mark Kalunguyeye amesema ajali hiyo ilitokea jana mishale ya saa 10:30 jioni eneo la Super

[ Read More ]

SMZ yaunda tume kuchunguza meli iliyozama

Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imeamua kuunda Tume kuchunguza chanzo cha kuzama kwa meli ya MV Fatih ikiwa na abiria na mizigo katika Bandari ya Malindi ya Zanzibar. Meli hiyo iliyokuwa ikitokea Dar es Salaam kuja Zanzibar ilizama Ijumaa iliyopita baada ya kukumbwa na tatizo la kuingiza maji ikiwa katika mkondo wa bahari, hatua iliyosababisha mabaharia kutumia mashine kumwaga maji. Waziri

[ Read More ]

Kiti cha ndege chakutwa kikielea

Kiti, koti okozi, vipande vya chuma na dalili za mafuta vimeonwa katikati ya Bahari ya Atlantic na rubani wa Jeshi la Brazil ambaye ni mmoja wa wataalamu wanaoitafuta ndege ya Shirika la Ndege la Ufaransa, Air France, iliyopotea tangu juzi. Mabaki hayo yalionekana jana kutoka angani umbali wa kilometa 650 Kaskazini mwa kisiwa cha Brazil cha Fernando de Noronha, karibu na njia ambayo ndege hiyo

[ Read More ]