
Heheheheheeh Mr.Bean nae alikuwepo ndani miongoni mwa waalikwa...nampenda huyu baba jamani Ilivyokuwa harusi ya Mjukuu wa malkia wa Uingereza,Prince William asubuhi ya leo.... Washangaaaji barabarani....wote hawa walikuwa wakisubiri kuona wanaopita na maharusi kwa ujumla... Wakenya nao naona wanawakilisha heheheheeheheh namuona mama wa kikenya akiwa katinga vazi lake la kimasai na mbele