Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

Wauliwa Kwa Kufunga Ndoa Bila ya Idhini ya Wazazi - Pakistan

Binti mmoja wa nchini Pakistan ambaye alitoroka nyumbani kwao na kwenda kuolewa bila ya idhini ya wazazi wake ameuliwa yeye na mumewe kwa kupigwa risasi na ndugu zake ambao walidai wanasafisha aibu iliyowekwa na binti huyo. Ndugu wa binti huyo wakiwa wamevalia unifomu za polisi walivamia

[ Read More ]

Washabiki 12 Wa Michael Jackson Wajiua Kufuatia Kifo Chake

Msichana mmoja wa nchini Tunisia amejiua kwa kumeza vidonge kutokana na huzuni ya kifo cha Michael Jackson huku ikikadiriwa kuwa jumla ya washabiki 12 wa Michael Jackson kutoka sehemu mbali mbali duniani wameishajiua tangia kutangazwa kwa kifo chake. Msichana huyo wa mji wa El Manar

[ Read More ]

Kifo cha Michael Jackson: Uchunguzi zaidi waonyesha mambo ya kutisha

TAARIFA mpya za uchunguzi wa kifo cha msanii Michael Jackson zimeonyesha matokeo ambayo yanashangaza kwa kiasi kikubwa. Vyombo mbalimbali vya habari ulimwenguni vimefichua kuwa msanii huyo alikuwa amedhoofika kiasi cha kutisha na kubakia mifupa kutokana na kutokula na kisha kutumia kiasi kikubwa cha vidonge. Uchunguzi huo umeonyesha kuwa baada ya kifo chake mabaki ya baadhi ya vidonge hivyo yamekutwa

[ Read More ]

Profesa Haroub Othman afariki dunia

MHADHIRI mwandamizi wa Chuo Kikuu Cha Dar-es-Salaam, Professa Haroub Miraji Othman, 66, amefariki dunia usiku wa kuamkia jana katika hoteli ya Abuso Shangani mjini Zanzibar. Kwa mujibu wa msemaji wa familia hiyo, Ali Uki alisema kifo cha Professa Othuman kilitokea ghafla akiwa usingizini. Alisema wakati mkewe akimuasha, alistuka alipoona Dk Othman haamki na ndipo alipoita watu kumsaidia. Alisema

[ Read More ]