Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

HABARI YA MSIBA..


Binti wa Marehemu Rashid Kawawa , Habiba Kawawa amefariki  jioni ya Leo siku chache kabla ya arobaini ya baba yake katika hospitali Ya Taifa ya Muhimbili majira ya saa kumi na Mbili Jioni….
Msiba upo nyumbani kwa Marehemu Habiba huko Tegeta
Mungu ailaze roho ya marehemu mahala pema peponi..Amin..
[ Read More ]

Mwili Wa Imran Mtui Wawasili Dar Leo, Wasafirishwa Kuelekea Moshi Kwa Mazishi



Jeneza lililobeba mwili wa marehemu Imran Mtui likiingizwa kwenye gari tayari kwa kusafiri kwenda Moshi.
Dada wa marehemu na waombolezaji wakilia kwa uchungu wakati jeneza likiingizwa kwenye gari tayari kwa kusafirisha mwili kwenda moshi Mjini kwa mazishi. 


Rais Mstaafu wa Chama cha Wanafunzi waishio Bangalore (TASABA) Bw. Baraka Kange akizungumza na waandishi wa habara mara wakati wakisubiri kupokea mwili wa Mwanafunzi aliyeuwa nchini India katika Uwanja wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) leo. Kushoto kwake ni Babu wa marehemu, Balozi Abubakar Abrahim.

source:michuzi.
[ Read More ]

MOTHER, DAUGHTER, SON COMMIT SUICIDE


  In a heart-rending incident, three members of a family committed suicide by consuming poison in Bogadi near here last night.
The deceased have been identified as Mangalamma (48), wife of Shivanna, her son Bhyrava (28) and daughter Lakshmi (22), wife of Swamy.
They allegedly ended their lives in their house behind Government School on Bogadi. Lakshmi is survived by two sons Preetham, 7, and Varun, 3. Her husband Swamy is said to be the main reason behind the trio taking the extreme step. The incident came to light when a neighbour Anitha reportedly went to the house of Mangalamma at about 6 am today.
Preetham opened the door for Anitha who found the three persons lying dead. She then informed neighbours who in turn alerted the Police.
Lakshmi, who was married to Swamy 7 years ago, was being constantly ill-treated by her husband who had turned into an alcoholic two years ago. Swamy, who owns a chicken stall in Bharathi Nagar, is said to have been assaulting Lakshmi and two children almost everyday. Attempts to reconcile the couple went in vain, according to neighbours.
Lakshmi, apparently fed up with her husband's ill-treatment, is said to have left for her parents' house along with her two children on Jan. 29.
Her father Shivanna, also said to be an alcoholic and totally non-chalant about his family affairs, was reportedly sleeping outside the house when the family members consumed poison last night.
[ Read More ]

Wanne wa familia moja wateketea kwa moto wa jenereta

WATU wanne wa familia moja wamekufa kwa moto baada ya jenereta lililokuwa limefungiwa katika moja ya chumba ndani ya nyumba hiyo kupasuka na kuwaka moto
Tukio hilo la kusikitisha limetokea usiku wa kuamka leo, huko maeneo ya Kibwenzini Zanzibar wakati watu hao wakiwa wamelala ndani humo.

Ilidaiwa kuwa jenereta hilo liliripuka majira ya saa 11 za alfajiri na kuzua moto uliosababisha vifo hivyo.

Ilidaiwa kuwa familia hiyo ilinunua jenereta hilo kwa ajili ya matumizi ya nyumbani kutokana na kukosekana kwa umeme visiwani Zanzibar.

Katika ajali hiyo waliopoteza maisha walitajwa kuwa ni Safia Shabani, Ahmed Shaban na mtoto ambaye hakuweza kupatikana jina lake, akiwemo na msichana wa kazi Sikudhani Nasorro.

Hadi habari hii inarushwa hewani, kamanda wa Polisi wa wilaya husika hakuweza kupatikana kuongelea juu ya tukio hilo juhudi zaidi zinafanyika ili kuweza kupata maelezo yake.
[ Read More ]