Banner 468

1234453_10201664080105694_1716282793_n
Facebook

Amuua mwenziwe kwa kumchoma kisu.

mwanafunzi mmoja wa darasa la sita anayejulikana kwa jina la Isaya Magese, 14, ameuawa kwa kuchomwa kisu na mwanafunzi mwenzake katika sehemu ya titi lake la kushotoKaimu kamanda wa polisi mkoani Shinyanga, Charles Nyanda alisema kuwa tukio hilo lilitokea Mei 16 mwaka huu majira ya saa 1:00 jioni katika Kijiji cha Kisesa kilicho katika Kata ya Kolandoto, Shinyanga.Alisema aliyefanya mauaji hayo,

[ Read More ]

Mjukuu ambaka bibi yake, amuua

   KIJANA mmoja mwenye umri wa miaka 27 anatuhumiwa kumbaka kikongwe wa miaka 70, ambaye anasadikiwa kuwa ni bibi yake, na baadaye kumuua kwa kumchinja. Kikongwe huyo, Kulwa Mahona, ambaye ni mkazi wa Kijiji cha Mwagala, Kata ya Ibadakuli, aligundulika kufanyiw aunyama huo Mei 19 majira ya asubuhi. Mwenyekiti wa kijiji hicho, Leonard Mayunga James aliiambiwa Mwananchi kuwa kijana huyo,

[ Read More ]